Baada ya kutumbuliwa jipu na Rais Magufuli jana Mkurugenzi wa jiji la dar WILSON KABWE asema haya. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, April 20, 2016

Baada ya kutumbuliwa jipu na Rais Magufuli jana Mkurugenzi wa jiji la dar WILSON KABWE asema haya.

Baada ya kusimamishwa kazi na Rais Magufuli jana aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la dar ndugu Wilson Kabwe ameibuka na kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake
akiongea mna mwandishi wetu aliyemhoji  bwana Kabwe alikuwa na haya ya kuzungumza..

Mwandishi;Umezipokeaje hizi taarifa za wewe kusimamishwa kazi na Rais baada ya tuhuma zilizotolewa juzi na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndugu Paul makonda?

Kabwe;Mimi sina lolote la kuzungumza kwa sababu maamuzi yamekwishatolewa, ninachosubiri ni uchunguzi ufanywe ili ukweli ubainike.

Mwandishi;Ninachotaka kujua ni wewe unazungumziaje suala hili?

Kabwe;Nimekwishakwambia kwamba sina la kuongea kuhusu hilo na pia sina tatizo lolote na uamuzi huo uchunguzi ufanyike na nina hakika kwamba ukweli utajulikana tu,Kama itabainika nimeonewa je, kuna fidia yoyote ntapewa?

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us