Hatimaye Mwili Uliozama na Gari Baharini Jijini Dar es Salaam Wapatikana | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, April 20, 2016

Hatimaye Mwili Uliozama na Gari Baharini Jijini Dar es Salaam Wapatikana



Mnamo majira ya saa 10 alfajiri, gari aina ya Hiace  iliteleza toka kwenye kivuko na kutumbukia katika bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam.

Gari hiyo ilikuwa na abiria wawili. Mpaka majira ya asubuhi, jeshi la zimamoto na uokoaji lilifanikiwa kuupata mwili mmoja na likaendelea kuutafuta mwili wa pili.

Mchana  huu  umepatikana mwili wa pili  wa Nice Karagwe  huku zoezi la kuitoa gari likiendelea

chanzo.Udaku special blog.
 
 
Wasiliana nasi;Kama una tangazo,habari,picha,maoni na ushauri n.k kupitia 0716528779/0755542721 na email.titoemmanuel@gmail.com

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us