Baraka da prince:Huwa sigongei magari ya wenzangu. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, April 20, 2016

Baraka da prince:Huwa sigongei magari ya wenzangu.

Msanii anayefanya vizuri katika game la bongo fleva Baraka da prince ameweka wazi na kukanusha taarifa zilizovuma kwamba huwa anaazima magari na kutamba nayo mjini.

Alikuwa akizungumza na kipindi cha Enewz kinachorushwa hewani na kituo cha Tv cha EATV alisema yeye anamiliki magari zaidi ya moja hivyo hawezi kuazima gari kwa marafiki zake, na kuongeza kuwa hao wanaosema hivyo ni machizi tu.

Lingine alilogusia ni kuhusu yeye kumtambulisha Mchumba wake ambaye ni msanii mwenzake Naj ,kwamba ameshamtambulisha kwa wazazi wake na ameshamvisha pete ya uchumba.Na kuhusu kuoa baraka alisema hiyo ni mipango ya mungu mwenyewe.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us