DIAMOND PLATINUMZ AKIONYESHA MENO YAKE YA DHAHABU. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, May 30, 2016

DIAMOND PLATINUMZ AKIONYESHA MENO YAKE YA DHAHABU.

Diamond Platnumz Na  Team yake ya wasafi walikuwa DALLAS kwaajili ya show kunayo moja ya video ambayo alipost instagram meneja wa diamond ilionyeshaPlatnumz akiwa ameweka meno ya Dhahabu.Tumezowea kuona wenzetu marekani wakiwa wanapenda kuweka hivyo na imeshakuwa kama fashion kwa super stars wa marekani ,Unakumbuka msanii AY  pia alishawekaga meno ya dizaini hii.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us