Lori laparamia kituo cha masi yaendayo kasi Dar. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, May 30, 2016

Lori laparamia kituo cha masi yaendayo kasi Dar.



Gari  lenye namba za  usajili T 369 BUZ linalomilikiwa na DAWASCO likiwa limeparamia kituo cha mabasi

baada ya gari hilo kukosa mwelekeo na kugonga kituo hicho na kujeruhi abiria watatu waliokuwa kituoni hapo. Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 2 usiku jana eneo la Mbuyuni, Barabara ya Bagamoyo jijini Dar es Salaam





google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us