RAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE AMPA KAZI MREMA | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 16, 2016

RAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE AMPA KAZI MREMA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Augustino Lyatonga Mrema.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania.Katika uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua Mwenyekiti wa Chama cha TLP Taifa, Mhe. Augustino Lyatonga Mrema kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole. Miezi kadha iliyopita Mrema alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akimuomba Rais Magufuli ampe kazi yeyote kwenye serikali yake ili amsaidie kutumbua majipu.





google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us