Wanafunzi elimu ya juu watoa saa 72 kwa bodi ya mikopo | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 16, 2016

Wanafunzi elimu ya juu watoa saa 72 kwa bodi ya mikopo


Kamati ya mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote nchini leo July 16 2016 wamkutana na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.  
Akizungumza kwa niaba ya kamati hiyo, Mwenyekiti wa kamati Taifa, Shitindi Venance amesema kipindi cha mwisho wa mwezi huu wanafunzi wa elimu ya juu watatakiwa kufika katika vituo vyao vya kazi vilivyosambaa nchi nzima ili kuendelea kupata mafunzo kwa vitendo ila wamesikitishwa kwamba wakati wakijiandaa na hilo  hakuna mchakato wowote unaoendelea kupelekea kupata fedha hizo, Shitindi amesema…….
>>>Mpaka sasa hivi tukiwa tumebakiwa na takribani siku tano kabla ya kufunga chuo hakuna hata karatasi za kusaini zilizotumwa vyuoni ili kukamilisha zoezi hilo na mchakato wa kusaini hukuchukua muda wa siku tatu mpaka tano
>>>Kutokana na ucheleweshaji huo tunatoa muda wa saa 72 kuanzia leo Jumamosi, mpaka Jumanne ya wiki ijayo kwa bodi ya mikopo kufikisha fedha za kujikimu wakati wa mafunzo kwa vitendo katika vyuo vyote hapa nchini ili wanafunzi waweze kusaini na kupokea malipo yao:-Shitindi
millard ayo.com

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us