Mwanamuziki Diamond Platnumz Atangaza Nafasi za Kazi.... | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 19, 2016

Mwanamuziki Diamond Platnumz Atangaza Nafasi za Kazi....


DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA.BOFYA HAPA

Katika hali ya kuendelea kusaidia vijana wenzetu ambao bado wapo mtaani... Ndugu zangu kuna nafasi za kazi hapa @wcb_wasafi ...tunauhitaji wa:

1. Videographer mweye uwezo wa kushoot na kuedit...
2. Kijana Mwenye taaluma nzuri ya IT/ Socila Media Adminstrator Mwenye uwezo wa kuandika na Kuzungumza kingereza fasaha....
3. Secretary wa kike, Mwenye uwezo wa Kuandika Kiswahili na kingereza fasaha.... sio vingereza vya "baby i love you" au "Chilling home" mara "Less wig on fleek" sjui hapana, Fasaha.... wasiliana nasi kwa namba zetu +255757339215 au fika katika ofisi zetu zilizopo Sinza

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us