SEHEMU YA PILI YA 2 YA STORI YA MAPENZI IITWAYO-TARATIBU MPENZI | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, March 17, 2016

SEHEMU YA PILI YA 2 YA STORI YA MAPENZI IITWAYO-TARATIBU MPENZI

Chombezo:;TARATIBU MPENZI-Sehemu ya 2...Jisomee mwenyeweee...

TARATIBU MPENZI - 2

Mtunzi;Geofrey Malwa
Mawasiliano;0712507115

Wakiwa wamejibana kwenye kona hiyo zoezi la kunyonyana denda liliendelea kwa dakika kadhaa ambapo Nelson kwa kutumia mikono yake alilipandisha gauni la Suzan mpaka juu kidogo ya kiuno kisha akamshusha nguo yake ya ndani mpaka magotini ambapo binti wa watu akabaki wazi Kitumbua chake kilichotoa harufu ya ute kwa mbali,,,



Alichokifanya,alisitisha zoezi la kunyonyana denda na na kuhamia kwenye sikio la kushoto la Suzan ambapo aliuingiza ulimi wake wenye joto uliokuwa kama unamtekenya ndani ya ngome ya sikio lake,,,Jackson aliunzungusha ulimi wake ndani ya sikio ambapo muda mwingine aliukandamiza,,,aaaah,,,,mmmmh,,,ooooooooh,,,aaaiiissssssss,,,,alilalamika Suzan huku akifumba macho yake na kuacha mdomo wazi,,,,

Wakati anamnyonya masiko na ulimi wake alikichukua kidole chake cha kati ambacho ni kirefu kuliko vyote kisha akakiremsha mpaka chini na kumwingiza Suzan kwenye ekitumbua chake kilichokuwa kimeshaanza kutengeza ute,,,mmmmmmh,,,aaaaah,,alipiga kelele kwa nguvu za kimahaba kiasi kwamba Nelson ilimbidi amzibe mdomo na kiganja cha mkono wake,,,alikiingiza kidole mpaka ndani ya kitumbua na kufanya kama anatafuta kitu hivi,

Suzan alihisi msisimko wa ajabu sana kutokana na kunyonywa masikio na kusuguliwa na kidole kidude chake chenye utamu,,alihisi kama anapaa,mmmmh,,,aaaaaah,,,aaaaah,,alizidi kulalamika ambapo Nelson alipohakikisha kitumbua kimeshakuwa tayari kwa majambozi,aliuchomoa mtalimbo wake uliokuwa mnene na mrefu,akaunyanyua mguu mmoja na kuushikilia vizuri kwa kuubana kwenye ukuta kisha akaushikilia mtalimbo wake na kumwingiza taratibu Suzan aliyekuwa kama anakipandisha kiuno chake juu,,,iiiisshiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaah,,,taratibu mapenziiiiiiii,,,,,aaaah,,,,aliugulia kwa sauti tamu Suzan mpaka mtalimbo wa Nelson ulipozama wote,,,taratiiiibuuuuu mpenziiiii,,,aliendelea kusisitiza Suzan aliyezidiwa kimahaba,,

Basi Nelson hakuwa na namna zaidi ya kufuata maelekezo aliyopewa ambapo mtalimbo wake ulikuwa unaingia taratibu na kutoka huku ndimi zao zikiendelea kugombana ndani ya vinywa vyao,,,,dakika kadhaa Suzan alianza kutangaza kumwaga uji,ambapo alimkumbatia Nelson kama ugomvi,aaaaaa,,,aaah,,,mmmmh,,,aaaaah,,,,oooooh,,,alilalamika Suzan wakati akimwaga uji wake,,na kutulia kimya kwenye kifua cha Nelson aliyekuwa bado anapampu,,,hazikupita dakika nyingi Nelson naye akamwaga ambapo hakumwagia ndani alichomoa mtalimbo na kumwaga uji wake ardhini,,,

We kaka,,kwani hapa ndio nimekojoa?,,,aliuliza Suzan huku sura yake ikiwa na jasho kwa mbali

Naiwa Nelson,kwani ulijisikiaje?,,,

Yaani sijajielewa kwakweli,nimesikia raha ya ajabu nikasahau kabisa kwa muda mfupi kama niko wapi,,,,aliongea hivyo Suzan huku akiwa bado amemkumbatia Nelson

Ndiyo,hapo ndio umekojoa,kwani usipofanya hivyo wakati wa kufanya mapenzi ni sawa na mtu aliyepandishwa mizuka halafu akaachwa bila kumalizwa mizuka yake,,,alitoa maelezo marefu Nelson yaliyomgusa moja kwa moja Suzan,,,

Anhaa,,mmmh,nashukuru

Kwani hujawahi kukojoa,,?

Ndiyo,tangu nianze mapenzi sijawahi,ilifika muda mpaka nikahisi nina matatizo,nashukuru sana

Wakati Nelson na Suzan wakiendelea kupeana mawili matatu kwa ajili ya kufahamiana vizuri,huku kwenye Tafrija mziki ulishaisha muda mrefu na watu walirejea kwenye viti vyao wakiendelea kupata vinywaji,alikuja bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la Adrian ambapo moja kwa moja alipowasili alielekea meza kuu na kuketi na wazazi wa Suzan,walisalimiana vizuri kisha Baba Suzan akaanza kupepesa macho kumtafuta Suzan,,mama Suzan!,mwanao ameenda wapi?,ona mchumba wake amekuja kwa ajili yake,,,aliuliza hivyo baba Suzan baada ya kupepesa macho na kumkosa eneo hilo,,,

Wakaitwa vijana wawili watumishi wa nyumbani hapo kwa baba Suzan na kuamrishwa wamtafute Suzan ndani ya nyumba na mwingine azunguke eneo hilo la Tafrija walihisi pengine Suzan atakuwa amepumzika ndani au amechanganyika na watu wengine,,

Mlinzi mmoja aliyeitwa Mayunga ambaye jukumu lake lilikuwa kuzunguka eneo la Tafrija kumtafuta Suzan,baada ya kumkosa kweny emchanganyiko wa watu,alianza kuzungukia kwenye maeneo yaliyotawaliwa na giza,tochi yake ilipomulika kwenye kona Fulani,,,aaaah,,we jamaa vipi bwana?,,aliongea Nelson huku akionyesha kukerwa na kitendo hiko cha kumulikwa na mwanga wa Tochi,,,samahani Bosi kuna mtu namtafuta,,,aliongea hivyo Mlinzi huyo na kuzima mwanga wa Tochi yake,Nelson alitoka akiwa peke yake na kurudi kwenye Tafrija pale alipokaa mwanzoni,,,

Mlinzi Mayunga,baada ya kuondoka Nelson alirejea na Tochi yake kisha akamulika tena pale kwenye kona alipomkuta Nelson,akasogea mpaka kwa karibu,japo palikuwa na harufu ya manukato ambayo Suzan alijipulizia siku hiyo,lakini ile harufu ya ndege kuliwa ilikuwepo kwa mbali,macho yake yaliyokuwa makini yalipoendelea kukagua eneo hilo yaliona bangili ya mkononi na Pochi vikiwa vimedondoka chini,,,

Hii bangili inafanana na ile ya Suzan,au nimeifananisha?,na hii Pochi sijui ya nani,,akawa anawaza avipeleke kwa Baba Suzan ili vitangazwe vijulikane ni vya nani,mlinzi huyo mwaminifu,hakuwaza kabisa kuvificha vitu hivyo,japokuwa bangili ile ilikuwa ni ya dhahabu na pochi alipoikagua ilikuwa na kiasi kingi cha fedha,,

Kwa upande wa Baba Suzan baada ya yule mtumishi kwenda na kumwangalia ndani Suzan,aliirudisha jibu kama alivyoambiwa na Suzan kwamba hawezi kuja anajisikia vibaya,tumbo linamuuma,ila hakuna haja ya kwenda kumwangalia atakuwa sawa tu,,ujumbe huo alifikishiwa pia Adrian ambaye ndiye mchumba wa Suzan,,,

Mlinzi mwaminifu Mayunga akiwa anajiandaa kutoka kwenye kona hiyo ili akavipeleke vitu hivyo vikatangazwe ili mwenye navyo ajitokeze na apewe,,,akiwa hana hatua nyingi,kabla hata hajaufikia mwanga alirudishwa na mkono wa mtu asiyemfahamu  mpaka kwenye Kona pale walipochezea mchezo mtamu Nelson na Suzan,,,Itaendelea

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us