KINGAZI BLOG: April 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, April 30, 2016

HIZI HAPA NAFASI ZA AJIRA KWENYE MAKAMPUNI MBALIMBALI HAPA NCHINI.

>>Nafasi za Kazi Mwananchi Communications Limited, Application Deadline Application Deadline: 13 May 2016 >>Nafasi ya Kazi Marie Stopes Tanzania >>Nafasi ya Access Bank Tanzania (ABT), Application Deadline 07 May 2016 >>Employment Posts At The Resettlement Support Center (RSC) >>Employment Opportunities At OXFAM Tanzania, Application Deadline 13th May 2016 INGIA...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 30 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 30 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye...

Jipya kuhusu kifo cha Pamba Wemba, tazama huyu jamaa kwenye video hii.

Taarifa  ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea Kipande cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka...

HII HAPA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CHADEMA

CHADEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vincent Mashinji amesema kuwa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi ndiyo msingi imara pekee unaoweza kuweka mifumo na taasisi kwa ajili ya maendeleo ya kweli yatakayogusa maslahi ya Watanzania wote badala ya nchi kuongozwa na kauli za viongozi. Kutokana...

LULU AAMUA KUONYESHA PETE YAKE YA UCHUMBA HADHARANI

Msanii wa filamu za kibongo Elizabeth Michael maarufu kama lulu amekuwa akipost picha mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii akiionyesha  pete aliyovalishwa iliyopo kwenye kidole chake huku akiweka baadhi ya maneno kwenye post hizo.hebu jionee hapa picha hizo,Na Haya ndo maneno aliyoyaandika. Simplicity z the key. Kwenye picha nyingine ameandika: Pale unaposikia Kwa…Kwa…Kwa…Kwa Ya Rihanna wakati...

Friday, April 29, 2016

VIDEO:Trump achekwa kwa alivyotamka Tanzania

Trump alishambulia sana sera ya kigeni ya Obama Mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya kuonekana akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba. Bw Trump alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa kuzungumzia...

Rais Magufuli Awasili Mkoani Dodoma Kwa Usafiri wa Gari.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Chamwino...

Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC

Hapa  kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ  Wakiwa  katika  uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC. Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa  medani na MONUSCO Kwa umahili wake.  ==>Habari hii,picha pamoja na video ni kwa hisani ya  mwandishi na correspondent wa ITV anayeripoti toka Congo ndg. Eshongulu Eshongulu Eshongulu ...

Kumbe TID alishawahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu

Msanii mkongwe wa muziki, TID amesema kipindi cha nyuma alikuwa anatoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu lakini baadae alitemwa hali ambayo ilimuumiza sana. Akizungumza katika kipindi cha Clouds TV Ijumaa hii, TID amesema hali hiyo ilimfanya atoke na wasichana wengi. “Nilikuwa ‘namdate’ Wema Sepetu akaniambia sikutaaki, tangu kipindi hicho nimekuwa na wasichana...

Naibu Spika Achafua Hali ya Hewa Bungeni Baada ya Kumwita Mbunge BWEGE

Naibu Spika Tulia Ackson, ambaye katika vikao vya Bunge anatakiwa kusimamia mijadala kwenye chombo hicho cha kutunga sheria, jana alizua kizaazaa baada ya kumuelezea mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Selemani Said Bungara kuwa ni bwege, akimtaka aache kuonyesha hali hiyo. Kwa mujibu wa toleo la pili la Kamusi ya Kiswahili Sanifu (Oxford) la mwaka 2004, neno bwege linamaanisha “mtu mjinga, mpumbavu,...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 29 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 29 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us