>>Nafasi za Kazi Mwananchi Communications Limited, Application Deadline Application Deadline: 13 May 2016
>>Nafasi ya Kazi Marie Stopes Tanzania
>>Nafasi ya Access Bank Tanzania (ABT), Application Deadline 07 May 2016
>>Employment Posts At The Resettlement Support Center (RSC)
>>Employment Opportunities At OXFAM Tanzania, Application Deadline 13th May 2016
INGIA...
Saturday, April 30, 2016
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 30 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

April 30 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye...
SHARE!
Jipya kuhusu kifo cha Pamba Wemba, tazama huyu jamaa kwenye video hii.
Published Under
KITAIFA
Taarifa
ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya
kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala
umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea
Kipande
cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye
stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka...
SHARE!
HII HAPA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CHADEMA
Published Under
KITAIFA

CHADEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vincent
Mashinji amesema kuwa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi
ndiyo msingi imara pekee unaoweza kuweka mifumo na taasisi kwa ajili ya
maendeleo ya kweli yatakayogusa maslahi ya Watanzania wote badala ya
nchi kuongozwa na kauli za viongozi.
Kutokana...
SHARE!
LULU AAMUA KUONYESHA PETE YAKE YA UCHUMBA HADHARANI
Published Under
TOP STORIES

Msanii wa filamu za kibongo Elizabeth Michael maarufu kama lulu amekuwa akipost picha mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii akiionyesha pete aliyovalishwa iliyopo kwenye kidole chake huku akiweka baadhi ya maneno kwenye post hizo.hebu jionee hapa picha hizo,Na Haya ndo maneno aliyoyaandika.
Simplicity z the key.
Kwenye picha nyingine ameandika: Pale unaposikia Kwa…Kwa…Kwa…Kwa Ya Rihanna wakati...
SHARE!
Friday, April 29, 2016
VIDEO:Trump achekwa kwa alivyotamka Tanzania
Published Under
US Election
Trump alishambulia sana sera ya kigeni ya Obama
Mgombea urais wa
chama cha Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya
kuonekana akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw
Trump alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika
mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa
kuzungumzia...
SHARE!
Rais Magufuli Awasili Mkoani Dodoma Kwa Usafiri wa Gari.
Published Under
KITAIFA

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es
Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga mara
baada ya kuwasili katika Ikulu ya Chamwino...
SHARE!
Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC
Published Under
TOP STORIES

Hapa kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ Wakiwa katika uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC.
Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa medani na MONUSCO Kwa umahili wake.
==>Habari hii,picha pamoja na video ni kwa hisani ya mwandishi na correspondent wa ITV anayeripoti toka Congo ndg. Eshongulu Eshongulu Eshongulu
...
SHARE!
Kumbe TID alishawahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
Published Under
TOP STORIES
Msanii mkongwe wa muziki, TID amesema kipindi cha nyuma
alikuwa anatoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu lakini baadae
alitemwa hali ambayo ilimuumiza sana.
Akizungumza katika kipindi cha Clouds TV Ijumaa hii, TID amesema hali hiyo ilimfanya atoke na wasichana wengi.
“Nilikuwa ‘namdate’ Wema Sepetu akaniambia sikutaaki, tangu kipindi
hicho nimekuwa na wasichana...
SHARE!
Naibu Spika Achafua Hali ya Hewa Bungeni Baada ya Kumwita Mbunge BWEGE
Published Under
BUNGE

Naibu Spika Tulia Ackson, ambaye katika vikao vya Bunge anatakiwa
kusimamia mijadala kwenye chombo hicho cha kutunga sheria, jana alizua
kizaazaa baada ya kumuelezea mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Selemani Said
Bungara kuwa ni bwege, akimtaka aache kuonyesha hali hiyo.
Kwa mujibu wa toleo la pili la Kamusi ya Kiswahili Sanifu (Oxford) la
mwaka 2004, neno bwege linamaanisha “mtu mjinga, mpumbavu,...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 29 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

April 29 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye kurasa...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)