Snura Mushi ‘Mamaa Chura’ (katikati) akitoa burudani.
Sehemu ya mashabiki wakiwa ndani ya Dar Live.
Isha Mashauzi akipagawisha mashabiki.
Man Fongo akirindimisha burudani ya Singeli.
Inspekta Haroun akiwanogesha mashabiki baada ya kupanda jukwaani na kufanya yake.
Mwimbaji wa Mashauzi Classic, Saida Makongo, akiwa kazini.
Huyu ni Hashim Said wa Mashauzi Classic.
WAPENZI wa...
Sunday, June 05, 2016
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA IBADA KATIKA KANISA LA MAOMBEZI LA MCHUNGAJI ANTHONY LUSEKELO (Mzee wa upako)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo wakati akiagana na Mchungaji Anthony Lusekelo‘Mzee wa Upako’ katika kanisa lake la Maombezi lililopo Ubungo Kibangu jijini Dar es Salaam. Rais Dkt. Magufuli alihudhuria ibada hiyo pamoja na kukagua barabarainayotoka Ubungo Kibangu hadi Barabara ya Mandela eneo la Riverside.
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi Mchungaji...
SHARE!
Watumishi 11 wa serikali Watumbuliwa kwa kuwa na Vyeti Feki Vya Kidato cha Nne.mkoani Mbeya.
Published Under
MAJIPU
Watumishi 11 mkoani wa idara ya afya mkoani Mbeya wamesimamishwa kazi baada ya kukutwa na kosa la kughushi vyeti vya kidato cha nne hilo limefanyika baada ya zoezi la kuhakikisha vyeti kwa kushirikiana na baraza la mitihani NECTA ikiwa ni mwitikio wa agizo alilotoa rais John Magufuli.Amesema waliwakilisha vyeti vingi NECTA na hivyo 11 ndio vikabainika vilikuwa vya kughushi ambao karibia...
SHARE!
Maaajabu!!!!! MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE...AITWA MUNGU MVULANA!
Published Under
MAAJABU

Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’
Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu na watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo kwenda kumshuhudia...
SHARE!
magazeti ya tanzania yalivyoandika leo jumapili Juni 5 kwenye habari za kitaifa kimataifa, michezo na udaku.
Published Under
MAGAZETINI LEO
...
SHARE!
Waliotimuliwa UDOM Waibuka, Watishia Kuishitaki Serikali
Published Under
TOP STORIES

Sakata Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limezidi kupanuka baada ya wanafunzi waliorudishwa nyumbani kupinga kuitwa vilaza.
Jana wawakilishi wa wanafunzi hao ambao waliambatana na viongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), walisema wanapinga pia hatua ya kutimuliwa chuoni.
Akizungumza kwa niaba ya wanafunzi wenzake, Gibson Johnson alisema wanasikitika kuona wanavyozushiwa tuhuma mbalimbali kuhusiana...
SHARE!
HII NDIO HISTORIA FUPI YA ZARI THE BOSS LADY
Published Under
TOP STORIES

“Habari mpya ni kwamba Diamond Platnumz atakuwa mgeni rasmi katika pati ya Zari All White Ciroc, najihisi niko sahihi kwa sababu sioni kama kuna ushindani wowote, huyu ni mtu wangu na itabaki kuwa hivyo,”
Licha ya kumzidi miaka 10, Zari atangaza rasmi kuwa ni mtu wake wa karibu kwa sasa.
Johannesburg/Dar. Baada ya kuukimbia ukweli kwa kipindi cha mwezi mmoja, mwanamuziki Diamond Platnumz...
SHARE!
Walimu 5 Waishi Darasani Kwa Miaka Mitatu
Published Under
KITAIFA

FAMILIA tano za walimu wa shule ya sekondari Shishani Kata ya Migato Halmashauri ya Itilima Mkoani Simiyu, zinaishi jengo la utawala tangu mwaka 2013.
Hali hiyo inatokana na ukosefu wa nyumba za walimu ambapo sasa shughuli za utawala shuleni hapo zinafanyika chini ya mti.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Tito Kwilasa alisema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari, waliofika shuleni hapo...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)