KINGAZI BLOG: 05/10/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 10, 2016

Wanaoficha sukari hawazidi 10

. Rais John Magufuli ametangaza kupambana na wafanyabiashara wasiozidi 10 waliohodhi biashara ya sukari, akisema ndiyo wameshiriki kuua viwanda na kujitajirisha. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa majengo ya NSSF na PPF jijini Arusha jana, Rais Magufuli alisema atapambana na wafanyabiashara hao bila kujali ni wafuasi wa CCM, Chadema ama CUF hadi mwisho wake. “Wafanyabiashara hawa walinunua...

Waziri Mkuu Kumwakilisha Rais Magufuli London.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa anatarajiwa kuondoka nchini leo jioni (Jumanne, Mei 10, 2016) kwenda London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi unaojadili suala la kupambana na rushwa (Anti-Corruption Summit 2016) utakaofanyika Mei  12, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo mchana, Waziri Mkuu amesema anaenda kumwakilisha Mheshimiwa Rais, Dk. John Pombe Magufuli kwa sababu...

Songas yazima mitambo kwa kuidai Tanesco Sh194 bilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya kufua umeme kwa njia ya gesi asilia, Songas Limited imezima mitambo yake, baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushindwa kulipa deni la Dola 90 milioni za Marekani sawa na Sh193.5 bilioni, jambo linalotishia ukosefu wa nishati hiyo muhimu nchini. Hata hivyo, Tanesco imepinga uamuzi huo na kueleza kuwa ni vitisho kwa wananchi na inakiuka vifungu namba 4.4 , 4.6 na...

Watakaotumia barabara ya mabasi yaendayo kasi kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limejipanga kudhibiti madereva wa vyombo vya moto wanaokiuka taratibu na sheria za barabarani hasa kwa kutumia barabara za mabasi yaendayo haraka kinyume cha taratibu. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda Mkuu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma, Abel Swai, wakati wa majaribio ya mabasi hayo ambayo yalilenga kutoa elimu kwa abiria jijini...

Mwingine mbaroni kwa kuficha sukari

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda  Dar es Salaam. Polisi wanamshikilia mfanyabiashara Bushir Haroun kwa tuhuma za kuficha kilo 4,000 za sukari katika ghorofa lake Hananasaf, Kinondon Dar es Salaam. Mfanyabiashara huyo ambaye leo asubuhi baada ya kuvamiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam, anadaiwa kuwa na uhusiano na mfanyabiashara mmoja mkubwa wa sukari...

Album ya Navy Kenzo ina collabo za kimataifa za kutisha.

Navy Kenzo hawataki mchezo. Album yao ijayo, Above in A Minute ina collabo kibao za kimataifa. “Tuna collabo na Alikiba, tuna collabo na Patoranking, tuna collabo na R2Bees kutokana Ghana, tuna collabo na Jesse Jagz kutoka Nigeria,” Nahreel ameiambia Bongo5. Ameongeza pia kuwa ziara yao itaendelea hadi Nigeria na Ulay...

BUNGENI:Mussa Azzan Zungu Achaguliwa Kuwa Tena Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

KUTOKA BUNGENI: Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan Zungu amechaguliwa leo kuwa tena Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akitoa neno la shukrani Zungu amesema nafasi hiyo sio rahisi lakini ataitumikia kwa uadilifu tena bila kupendelea upande wowote.Napia ametoa shukrani kwa wabunge waliomchagua kuwa tena kwenye nafasi hiy...

Waziri Mkuu: Serikali Itaagiza Tani 70,000 Za Sukari

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaagiza kutoka nje ya nchi tani 70,000 za sukari ambapo kati ya hizo, tani 11,957 zimeshawasili nchini na zitaanza kusambazwa kesho (Jumatano). Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Mei 10, 2016) wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam. Akitoa ufafanuzi wa sukari ambayo imekwishawasili...

HILI NDILO BALAA JIPYA LA MAKALIO YA KICHINA

Tabia ya baadhi ya wasichana hasa wa mjini kuwa na tamaa ya kuwa na makalio makubwa na hivyo kulazimika kutumia dawa mbalimbali, imekuwa ikishamiri kila siku licha ya serikali kuHIpiga marufuku uingizwaji wa dawa hizo Jayjay Gazeti hili matoleo yaliyopita liliwahi kuandika jinsi mastaa wengi Bongo wanavyotumia dawa hizo lakini uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, kasi ya matumizi...

Tazama Video ya Msanii Mpya wa The Industry Anayeitwa Seline..Wimbo Unaitwa Njoo

The Industry, label ya Nahreel imeanza kuwatoa wasanii wake. Jumamosi walitambulishwa wasanii wake watatu akiwemo Seline ambaye leo ameachia kazi yake mpya, Njoo.  Tazama video ya wimbo huo...

Magazeti ya Tanzania leo mei 10, 2016 kwenye habari zq kitaifa kimataifa,michezo na udaku.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us