KINGAZI BLOG: 05/07/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, May 07, 2016

PICHAZ 14: Leicester City walivyopokea Kombe lao la kwanza la EPL leo May 7 2016

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Uingereza klabu ya Leicester City, leo May 7 2016 baada ya mchezo dhidi ya Everton katika uwanja wao wa King Power walipokea Kombe lao la kwanza la Ligi Kuu Uingereza baada ya wiki iliyopita Chelsea kuwa kutoa sare ya 2-2 na Tottenham Hotspurs, hivyo Leicester ikatwaa taji hilo moja kwa moja. Hili...

Mimi sifanyi mapenzi, hata boyfriend wangu anajua sipendi kufanya mapenzi – Gigy Money

Video queen ambaye haishiwi vituko, Gigy Money amefunguka kwa kusema kuwa yeye siyo mtu wa kupenda kufanya mapenzi kama watu wanavyodhan...

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo mei 7 kwenye habari za udaku, kitaifa kimataifa, michezo na stori nyingine kali.

DOWNLOAD APPLICATION YA Tzmpya News blog HAPA   ...

Baadhi ya wabunge wakiri kurekodi bunge kwa simu.

Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameelezea tuhuma zilizozagaa mtaani kuwa baadhi ya wabunge wanarekodi mambo yanayoendelea bungeni na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kwa kutumia simu za mkonon...

Mkuu wa Mkoa Paul Makonda Atinga ndani ya WCB..Diamond Asema Haya

From @diamondplatnumz - Shukran sana sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam @PaulMakonda kwa kututembelea katika Office zetu za @Wcb_Wasafi jana usiku.... ujio wako Umetutia nguvu na Moyo mkubwa katika ufanisi wa kazi zetu.... Hakika wewe ni kiongozi wa pekee....Tunashkuru kwa Ushauri, muongozo wako mzuri na Muda wako wa thamani ulioupendekeza kwetu Jana!... ijapokuwa kaofisi ketu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us