Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Uingereza
klabu ya Leicester City, leo May 7 2016 baada ya mchezo dhidi ya Everton
katika uwanja wao wa King Power walipokea Kombe lao la kwanza la Ligi
Kuu Uingereza baada ya wiki iliyopita Chelsea kuwa kutoa sare ya 2-2 na
Tottenham Hotspurs, hivyo Leicester ikatwaa taji hilo moja kwa moja.
Hili...
Saturday, May 07, 2016
PICHAZ 14: Leicester City walivyopokea Kombe lao la kwanza la EPL leo May 7 2016
Published Under
MICHEZO
SHARE!
Mimi sifanyi mapenzi, hata boyfriend wangu anajua sipendi kufanya mapenzi – Gigy Money
Published Under
TOP STORIES
Video queen ambaye haishiwi vituko, Gigy Money amefunguka
kwa kusema kuwa yeye siyo mtu wa kupenda kufanya mapenzi kama watu
wanavyodhan...
SHARE!
Magazeti ya tanzania yalichoandika leo mei 7 kwenye habari za udaku, kitaifa kimataifa, michezo na stori nyingine kali.
Published Under
MAGAZETINI LEO

DOWNLOAD APPLICATION YA Tzmpya News blog HAPA
...
SHARE!
Baadhi ya wabunge wakiri kurekodi bunge kwa simu.
Published Under
KITAIFA

Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameelezea
tuhuma zilizozagaa mtaani kuwa baadhi ya wabunge wanarekodi mambo
yanayoendelea bungeni na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii kwa
kutumia simu za mkonon...
SHARE!
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda Atinga ndani ya WCB..Diamond Asema Haya
Published Under
TOP STORIES

From @diamondplatnumz - Shukran sana sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam @PaulMakonda kwa kututembelea katika Office zetu za @Wcb_Wasafi
jana usiku.... ujio wako Umetutia nguvu na Moyo mkubwa katika ufanisi wa
kazi zetu.... Hakika wewe ni kiongozi wa pekee....Tunashkuru kwa
Ushauri, muongozo wako mzuri na Muda wako wa thamani ulioupendekeza
kwetu Jana!... ijapokuwa kaofisi ketu...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)