KINGAZI BLOG: 07/30/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 30, 2016

Wezi wa Umeme Waendelea Kukamatwa

Shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Kinondoni limeendelea kuwakamata wananchi wanaotumia umeme wa wizi kujiunganishia umeme kinyume cha sheria pamoja na kuwekewa mita za Luku na Vishoka ambao siyo watumishi wa Shirika hilo. Katika eneo la Mbezi jijini Dar es salaam, Mfanyabiashara wa Chakula Mariam Mjema amejikuta matatani baada ya kubainika kuwa mita ya Luku aliyowekewa ilikuwa ya wizi na haina kumbukumbu...

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi siku 23 tangu amteue

...

Taarifa Ya Bunge Kwa Umma Kuhusu Kamati Za Bunge

...

Lil wayne aipaisha kwa hotuba ya Clinton

Mashabiki wa mwanamuziki wa Marekani Lil Wayne wamekuwa wakidai kwamba huenda maneno ya wimbo wa msanii huyo yalitoa msukumo kwa hotuba ya bi Hillary Clinton. "When there are no ceilings, the sky's the limit," {Iwapo hakuna paa la nyumba basi ,kikomo ni mbingu},Clinton aliliambia kongamano la chama cha Democrat. Alikuwa akizungumza baada ya kukubali tiketi ya kuwania urais kupitia chama cha Democrat. Mashabiki...
 

Gallery

Popular Posts

About Us