KINGAZI BLOG: 04/15/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, April 15, 2016

KIAMA CHA SIMU FEKI BADO KIPO PALE PALE, SERIKALI YATOA ONYO

SERIKALI imesema imeamua kuchukua uamuzi wa uzimaji simu feki ifikapo Juni 16, mwaka huu, kutokana na madhara mbalimbali yatokanayo na simu hiz...

TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA MR.BLUE ILIYOFUNGWA HIVI KARIBUNI

...

Dunia imeishaa!!!!!!! Bibi Kizee wa Miaka 84 Abakwa na Kijana wa Miaka 32.

Pichani ni Bibi kizee mwenye umri wa miaka 84 na mkazi wa Kijiji cha Chungu, tarafa ya Ihanja,...

Maajabu!!!!! mbuzi azaa kiumbe kama binadamu

Goat Gives Birth To Half-Human Half-Goat Creature We are truly living in the final moments of the end times! All indications show that a very sharp bad guy has been having sexual relations with the female goat. Investigation into the matter has starte...

Malaika - RARUA RARUA | Mp3 Download [New Song]

...

(Official video) RaymondKwetu | Download MP4 HAPA

...

Anne kilango atoa la moyoni

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela, ameibukia kanisani na kutoa ya moyoni, ikiwa siku tano baada ya Rais Dk. John Magufuli kutengua uteuzi wake. Kilango, ambaye Jumatatu wiki hii uteuzi wake ulitenguliwa baada ya Machi 20, mwaka huu, kudai kuwa mkoa wa Shinyanga hauna mtumishi hewa wa serikali hata mmoja. Hata hivyo, Ikulu ilifanya uchunguzi na kubaini kuwa katika taarifa...

Mr.Flavour apata Skendo ya kupiga picha za uchi

Msanii wa Nigeria, Flavour amefanya kile ambacho tumekuwa tukikiona kikifanywa na wasanii wa Marekani tu na tena wa kike, kupiga picha za nusu utupu na kuweka hadharan...

Soma hapa Ajira zilizotangazwa leo

Nafasi za Kazi Diamond Trust Bank DTB, Nafasi ya Kazi TANROADS, Nafasi za Kazi Olam Tanzania Ltd, Nafasi za Kazi Tanzania Postal Bank ,...

Karandinga laanza kuwasomba ombaomba aibuu

Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda limeanza kufanyiwa kazi baada ya karandinga kuanza kuwasomba ombaomba waliojaa katika maeneo mengi jijini Dar es salaam....

Serikali ya Marekani Yaahidi Kuendelea Kuisaidia Tanzania

Serikali ya Marekani imeihakikishia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendeleza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo mbili ikiwa ni pamoja na kutoa...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 15 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

April 15 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa ...

Lugumi aikimbia nchi atorokea ughaibuni.

*Adaiwa kupanda ndege usiku wa manane, haijulinani alikokwenda *Ni yule anayetajwa kwenye mkataba tata uliohusisha vigogo wa Serikali, Jeshi la Polisi KIGOGO anayemiliki Kampuni ya Lugumi Enterprises Ltd, Said Lugumi, ametoroka nchi,...

Ukiona mpenzi wako yupo hivi mwepuke ni laghai

BINADAMU tunapenda kupendwa, na tukipenda tunajisahau hivyo tunashindwa kuchunguza kama hawa tulio nao ni sahihi au la. Kuna mambo mbalimbali ambayo yanaweza kukupa ishara kuwa huyo uliyenaye hana mapenzi ya kweli, ni laghai. Leo  tutazungumzia masuala ambayo mpenzi wako anapaswa kuwa nayo, akiyakosa jua wazi kwamba hakufai. Unachotakiwa kufanya n...
 

Gallery

Popular Posts

About Us