KINGAZI BLOG: 07/07/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, July 07, 2016

MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOANDIKA LEO JULAI 7 KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO

...

Waliokufa Katika Ajali ya mabasi ya City Boy Waongezeka zaidi.

  Idadi ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili ya Kampuni ya City Boy imeongezeka na kufikia 32 baada majeruhi aliyekuwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) kufariki dunia. Ajali hiyo iliyohusisha mabasi hayo wakati moja likitokea Dar es Salaam kuelekea Kahama mkoani Shinyangana lingine likitokea Kahama kuelekea Dar es Salaam,...

Rais Magufuli atengua Uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Watenguliwa

...

Breaking News : Hii hapa Orodha mpya ya wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji walioteuliwa leo na Rais Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 07 2016 amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri za majiji 5, Manispaa 21, Miji 22 na Wilaya (DC) 137 za Tanzania Bara.Uteuzi huo umetangazwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe ambapo kati ya wakurugenzi wote 185 walioteuliwa, 65 wameteuliwa kutoka...
 

Gallery

Popular Posts

About Us