KINGAZI BLOG: 07/09/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 09, 2016

Magazeti Ya Tanzania yalichoandika Leo Jumamosi ya July 9 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na burudani

...

Hebu muone lulu akiwa kavaa yebo yebo na hata bila kupaka "Make up "

Mshindi wa tuzo ya AMVCA 2016, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na CEO wa EFM, Dj Majay, wameamua kuuonyesha umma ni jinsi gani wako karibu zaidi. Lulu na Majay Wawili hao ambao kwa sasa mahusiano yao yako wazi zaidi, wamekuwa wakishare picha mbalimbali wakiwa pamoja katika mitandao ya kijamii na kuonyesha jinsi wanapendana. Kupitia instagram, Lulu alishare picha akiwa na Majay na kuandika: Baba Na Mama...
 

Gallery

Popular Posts

About Us