KINGAZI BLOG: 07/05/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, July 05, 2016

HATIMAYE MWEZI UMEONEKANA NA KESHO NI SIKUKUU YA EID EL FITRI KOTE DUNIANI

 MUFTI mkuu wa  Tanzania ametangaza rasmi kwamba kesho ni sikukuu ya Eid el fitri kwa Mujibu wa dini ya kiislamu,hii imekuja baada ya mwezi kuandama na kuonekana katika Maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, na hivyo kuhitimisha mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa mwaka huu. >>>UONGOZI WA KINGAZI MEDIA GROUP TUNAWATAKIENI SIKUKUU NJEMA YA EID EL FITRI MSHEREHEKEE...

PICHA NA VIDEO:KOCHA MPYA WA MAN U JOSE MAURINHO ALIVYOTAMBULISWA LEO.

Baada ya Man City kumtambulisha Pep Gurdiola Etihad, leo July 5 2016 uongozi wa klabu ya Man United ya England walimtambulisha rasmi kocha wao Jose Mourinho Old Trafford. Mourinho ametambulishwa na kuongea vitu vingi katika press conference, ikiwemo kusikitishwa kwake kwa Man United kukosa mechi za Ligi ya Mabingwa...

TCRA YAZIPIGA FAINI KAMPUNI 6 KWA UKIUKWAJI WA MASHARTI YA USAJILI WA NAMBA/LAINI ZA SIMU ZA MKONONI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA  ISO 9001:2008 CERTIFIED. MAELEZO YA KAIMU MKURUGENZI MKUU, MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA, ENG. JAMES KILABA KUHUSU UAMUZI KUHUSU UKIUKWAJI WA MASHARTI YA USAJILI WA NAMBA/LAINI ZA SIMU ZA MKONONI Ndugu Waandishi wa Habari,Tumewaita hapa leo ili kutoa uamuzi kuhusu mashauri ya ukiukwaji wa masharti ya usajili wa...

NAFASI ZA MASOMO KATIKA VYUO VYA UVUVI NA SAMAKI MWAKA 2016/17.

   MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES DEVELOPMENT FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY              P.O. Box 83, BAGAMOYO. TANZANIA ADMISSION 2016/2017 Applications are invited from suitably qualified candidates for admission into Courses offered by either of the following campuses under the Fisheries Education...
 

Gallery

Popular Posts

About Us