KINGAZI BLOG: 04/25/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, April 25, 2016

Wiki nne zilizopita Diamond Platnumz alikuwa na Papa Wemba Studio

Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 headlines za taarifa za kifo cha mwimbaji Mkongwe kutoka Congo DRC Papa Wemba aliripotiwa amefariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast. Sasa leo April 25 2016 Diamond Platnumz anaingia kwenye list ya wasanii walioguswa na msiba huo ambapo kupitia kwenye mtandao wake wa  instagram...

Picha: Diamond na P-Square washoot video SA

P-Square walitawala vichwa vya habari kwenye redio, TV, magazeti na blogs za Afrika kwa kuingia kwenye vita vikubwa vya maneno kati yao kiasi cha kundi kudaiwa kuvunjika. ...

HIZI HAPA NAFASI MASOMO KATIKA VYUO VYA MAFUNZO YA AFYA TANZANIA

&nbs...

Hii Hapa Taarifa ya Utekelezaji Ya Kamati Ndogo ya PAC Kuhusu Mkataba wa Lugumi

Hii ndiyo Taarifa ya utekelezaji wa kamati ndogo ya PAC kuhusu mkataba wa lugumi.Kama ilivyowasilishwa bungeni  soma hap...

Hili Hapa Tamko La Jukwaa La Wahariri Tanzania Juu Ya Matangazo Ya Bunge

Bodi ya Jukwa la Wahariri Tanzania (TEF) iliyokaa Ijumaa Aprili 22, 2016 jijini Dar es Salaam pamoja na mambo mengine ilijadili hali ya mwenendo wa tasnia ya habari nchini hasa juu ya haki ya wananchi kupata habari. Katika kujadili hali hiyo, TEF imeguswa kwa namba ya kipekee kabisa na mwenendo mzima wa urushaji wa bahari za Bunge kwa njia ya redio na luninga, hususan katika mkutano...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 25 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

  April 25 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us