KINGAZI BLOG: 09/19/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, September 19, 2016

Vyakula vinavyopendekezwa kutumiwa na wanawake wakati wa Siku zao (period).

Katika kipindi cha mzunguko (siku za hedhi) kwa kawaida wanawake hupoteza kiasi cha damu pamoja na baadhi ya madini chuma mwilini. Hali hiuo huweza kusababisha upungufu wa damu kama mwanamke atakuwa hapati lishe bora na ya kutosha. Sasa ili kuzuia upungufu wa damu na madini mwilini, msichana anatakiwa kula vyakula vyenye madini chuma na chokaa kwa wingi ikiwa ni pamoja na hivi vifuatavyo:- Orodha...

CHECK PICHA DIAMOND PLATINUMS NA WCB WAONYESHA JINSI WALIVYOMALIZANA NA UONGOZI WA SAIDA KAROLi

Sallam kutoka WCB ameonyesha baadhi ya nyaraka ambazo zimewapitia kibali cha kutumia sehumu za wimbo ‘Maria Salome’ wa Saida Karoli katika wimbo mpya wa Diamond, ‘Salome’. Wimbo ‘Maria Salole’ wa Saidi Karoli ni miongoni mwa nyimbo za asili zilizofanya vizuri miaka ya 2000. Hali hiyo iliufanya uongozi wa Diamond kuzungumza na uongozi wa Saida Karoli ili upate kibali cha kutumia sehemu za nyimbo...

Official VIDEO | Diamond Platnumz Ft. Rayvanny Salome ( Traditional ) | Watch/Download

...

RAYMOND WA WCB WASAFI NDIO HABARI YA MJINI,CHECK ALIVYOTIKISA NA VAZI LA AINA YAKE

Raymond aka Rayvanny look fabulous on this new wear of African print dress.Raymond Aka Rayvanny Stuns on new Fashion Kitenge Photo on his new Music of Salo...
 

Gallery

Popular Posts

About Us