KINGAZI BLOG: 06/07/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, June 07, 2016

Rais Magufuli Apokea Shilingi Bilioni 12 Ya Tume Ya Uchaguzi Zilizokuwa Zimebaki Baada ya Uchaguzi Mkuu

Ra Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekabidhi shilingi Bilioni 12 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, zilizobaki baada ya uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva amekabidhi hundi ya kiasi hicho cha fedha kwa Rais Magufuli leo tarehe 07 Juni, 2016 Ikulu Jijini   ...

MIKOPO YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA ST JOSEPH YAFUTWA RASMI

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha St Joseph (SJUIT) Kampasi ya Arusha (kilichofutiwa usajili), waliokuwa chini ya programu ya shahada ya miaka mitano ya ualimu wa sayansi, wametakiwa kusoma ngazi ya cheti au stashahada. Kama watataka kusoma ngazi ya juu, watapaswa kuomba upya udahili. Aidha, Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imesema wanafunzi waliokuwa wakipata mkopo kutoka Bodi...

Jeshi la Polisi Lapiga Marufuku Maandamano na Mikutano Yote ya vyama vya Siasa

Ndugu zangu waandishi wa habari, Katika siku za hivi karibuni, Jeshi la Polisi nchini, limepokea taarifa kutoka kwa baadhi ya vyama vya siasa wakitaka kufanya mikutano na maandamano . hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia vyanzo vyake vya mbalimbali vya habari limebaini kuwa mikutano hiyo ina lengo la kuwahamasisha wananchi kutotii sheria za nchi (Civil disorder). Aidha vyama vingine vya siasa vimeonyesha...

Rais John Magufuli amefanya uteuzi wa Jaji kiongozi leo juni 7

Rais Magufuli amteua Jaji Ferdinand Wambali kuwa Jaji Kiongoz...

Mbunge Godbless Lema asema: Sishangai Waziri kuingia Bungeni Amelewa wakati kulikuwa na bar ndani ya uzio wa bunge

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) ameeleza kutoshangazwa na taarifa za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kuingia Bungeni na kujibu swali akiwa amelewa kwani awali kulikuwa na bar ndani ya uzio wa Bunge. Lema ambaye ni Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, aliyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV, ambapo alieleza kuwepo kwa tatizo...

NAFASI YA KAZI HIZI HAPA NBC BANK MWISHO WA MAOMBI TAREHE 16 JUNE 2016

HEAD OF RETAIL BANKING POSITION DESCRIPTION: NBC BANK Head of Retail Banking (1 position) Job Grade: Director Reporting to: Managing Director Head Office: Dar es Salaam Key Objectives: CIR reduction Improve Branch profitability Market Leader In Digital banking Net promoter score, Improve multi products engage clients Job Purpose: • To lead and direct the strategic delivery of all Retail Banking...

MAGAZETI YA LEO JUMANNE 07/6/2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA UDAKU NA MICHEZO

  ...

CCM Yatangaza Kuzunguka Nchi Nzima Kuharibu ngome za CHADEMA na wote waliopanga kumchafua Rais Magufuli Magufuli.

Siku chache baada ya Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kufanya mikutano nchi nzima kwa lengo la kuishtaki kwa wananchi Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Magufuli, CCM wamejibu mapigo  kwa kuapa kuwafuata kila kona watakayopita. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka alisema kuwa chama hicho hakiwezi...

Rais Mseveni Amteua Mkewe KuwaWaziri mkuu wa nchi hyo

 Rais Yoweri Mseveni na Mkewe, Janeth Mseveni. Kampala, Uganda Rais wa Uganda Yoweri Museveni, jana alitangaza Baraza lake jipya la mawaziri 50 huku akimteua mkewe Bi. Janet Kataaha Museveni kuwa Waziri wa Elimu na Michezo. Bi. Janeth Mseveni Baraza Jipya la Mawaziri la Uganda. H.E. the Vice President ─ HON. KIWANUKA EDWARD SSEKANDI Rt. Hon. Prime Minister ─ DR. RUHAKANA RUGUNDA 1st Deputy...

DIAMOND PLATINUMZ NI LEVEL ZA KIMATAIFA,LEO KAJA NA HILI HEBU ONA HAPA

...

MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YATOA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA KIPINDI CHA JUNI HADI AGOSTI 2016.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mwelekeo wa hali ya hewa kwa kipindi cha Juni hadi Agosti mwaka huu. Akizungumzia kuhusiana na mwelekeo huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, Meneja Kituo Kikuu cha Utabiri Bw. Samwel Mbuya alisema “Nchi yetu inatarajia kuwa na hali ya baridi kiasi katika kipindi hiki sambamba na vipindi vifupi vya mvua vinavyotarajiwa kujitokeza katika maeneo...
 

Gallery

Popular Posts

About Us