...
Tuesday, July 12, 2016
Sijakurupuka uteuzi wa wakurugenzi - Rais Magufuli
Published Under
KITAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli, amesema uteuzi wake wa wakurugenzi hakubahatisha kwa kuwa sekta hiyo ni muhimu katika maendeleo ya nchi kwa kukuza uchumi na kuondoa kero za wananchi.
Rais Magufuli amesema hayo leo Ikulu Jijini Dar es Salaam wakati Wakurugenzi hao wakila kiapo cha maadili, ambapo amesema ametumia muda mwingi ikiwa ni pamoja na kukesha usiku kuwafuatilia...
SHARE!
Hakuna Ubaya Mimi Kutoka Kimapenzi na Kajala- Msami
Published Under
TOP STORIES

Msanii Msami ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake wa ‘Mabawa’ amefunguka na kusema kuwa yeye ni mwanaume na Kajala ni mwanamke hivyo kwa kile ambacho kinazungumzwa na watu kuwa huenda anatoka naye kimapenzi
‘Si jambo baya kwani Kajala ni mtoto wa kike na yeye ni mwanaume hivyo chochote kinaweza kutokea kati yao’.
Msami alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWS na kudai kuwa maneno yanazungumzwa...
SHARE!
Wanafunzi Chuo Kikuu Kizimbani Kwa Mauaji
Published Under
KITAIFA
WATU watatu wakiwemo wanafunzi wawili wa vyuo vikuu vilivyoko jijini Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji.
Wanafunzi hao ni wa Chuo Kikuu cha Ardhi, Hussein Mustafa (26) na wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Haruna Nkuye (24) ambao wanashitakiwa pamoja na fundi makenika Rajabu Ally (41) wote wakazi wa Dar es Salaam.
Washitakiwa...
SHARE!
WEMA SEPETU AMWANDIKIA IDRISS SULTAN UJUMBE HUU
Published Under
TOP STORIES
Mrembo Wema Sepetu ambaye jina lake July 11 2016 liliingia kwenye headlines baada ya kutoa viatu vyenye brand ya jina lake, ameingia tena kwenye headlines baada ya kuamua kumuandikia ujumbe Idris Sultan ambaye ni mpenzi wake kupitia ukurasa wake wa Instagram.Wema Sepetu na Idris Sultan kulikuwa na tetesi kuwa hawapo katika maelewano mazuri lakini usiku wa...
SHARE!
Askofu Gwajima Akamatwa na Jeshi la Polisi Muda Mfupi Baada ya Kutua Uwanja wa Ndege
Published Under
KITAIFA
Hatimaye Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye amekuwa akitafutwa na Jeshi la Polisi kwa siku kadhaa alikamatwa jana katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) alipowasili akitokea Japan.
Baada ya Askofu Gwajima kukamatwa na Kikosi cha Polisi cha Uwanja wa JNIA alipelekwa moja kwa moja Kituo Kikuu cha Polisi kwa ajili ya mahojiano akidaiwa alitoa maneno ya uchochezi mwezi...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)