KINGAZI BLOG: 08/27/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, August 27, 2016

MAAAAAJABU YA MWAKA!!!MUME AMFUMANIWA NA MKEWE AKIFANYA NGONO NA MBWA WAKE

Mwanamke mmoja amepigwa na butwaa baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao nyumbani Spring Valley, Nairobi –Inasemekana mwanamke huyo alikuwa amezuru mashambani kupeleka watoto ambapo alirudi nyumbani Nairobi bila kutarajiwa Mwanamke mmoja alielezea kisa cha kushtua baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa nyumbani, Spring Valley, Nairobi. Mwanamke huyo aliondoka nyumbani Jumamosi...

UKWELI KUHUSU MSANII BELLE9 KUJIUNGA NA WCB(SOMA HAPA)

Kumekuwa na tetesi nyingi kwenye mitandao ya kijamii zikimuhusisha msaani wa bongo fleva Belle 9 kusajiliwa kwenye lebo kubwa ya muziki wa bongo fleva Tanzania,WCB ianyomilikiwa na Diamond Platnumz. Tetesi hizo ziliibuka baada ya kuonekana kwa kipande cha video zikumuonyesha Belle 9 akiimba pamoja na Diamond wimbo wa ‘kidogo’ kwa live band katika studio za lebo hiyo.Alipoulizwa kwa upande juu ya...

HEBU ONA PICHA ZOTE UKWELI KUHUSU MAPAMBANO YA POLISI NA MAJAMBAZI JANA HUKO VIKINDU

Eneo la Mtaa wa Vikindu Mashariki mkoani Pwani kwenye nyumba ya mtu mmoja aliyetajwa kwa jina la Mzee Manitu paligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kuizingira nyumba hiyo na kupiga risasi nyingi hewani wakati wakimtaka jambazi anayetuhumiwa kufanya mauaji ya katika tukio la kuuawa askari polisi wanne waliokuwa wakibadilishana lindo kwenye Benki ya CRDB Tawi la Mbande wialayani Temeke jijini...

Waziri Nape Atengua Uteuzi wa Mjumbe wa Kamati ya Maudhui ya TCRA

...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Agosti 27

...

Serikali yaagiza Mabasi Mapya 165 ya Mwendokasi

Serikali imeanza mchakato wa kuagiza mabasi mapya 165 ya mwendokasi yatakayotoa huduma za usafiri kwa wakazi Dar es Salaam kwenye maeneo yasiyo na huduma hiyo. Tayari imeshatangaza zabuni ya kununua mabasi hayo na mwezi Desemba, mwaka huu itasaini mkataba na mzabuni. Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), Ronald Rwakatare amewaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa...

Askari Mwingine Auawa Kwenye Mapambano Makali na Majambazi vikindu

Ilikuwa ni kama filamu ya askari na maadui wakati askari wa Jeshi la Polisi walipopambana na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kwenye nyumba iliyo eneo la Vikindu wilayani Mkuranga. Taarifa ambazo zimepatikana kutoka kwa watu waliokuwa karibu na operesheni hiyo na ambazo hazijathibitishwa na mamlaka rasmi, zinasema kamishna wa Kitengo cha Kuzuia Ujambazi, ASP Thomas Njuki aliuawa kwa kupigwa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us