KINGAZI BLOG: 08/17/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, August 17, 2016

BREAKING NEWSS :Waliotafuna Fedha za Mikopo Wapewa Siku Saba Kuzirejesha

Wafanyakazi wa Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu (HELSB)na wa vyuo vilivyohusika kufanikisha malipo ya fedha za mikopo kwa wanafunzi hewa kuchukuliwa hatua kali za kisheria pamoja na kurudisha fedha zilizochukuliwa na wanafunzi hao. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mh. Joyce Ndalichako . “Kutokana na mambo yaliyobainika serikali imechukua...

London: Wateja wala chakula wakiwa watupu mgahawani

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida mgahawa mmoja  jijini London Uingereza umechukua chati ya aina yake kwakuwa na huduma ya kipekee ambapo wateja wake hula  vyakula mbalimbali wakiwa utupu. Mradi wa kujenga Mgahawa huo wa Bunyadi ulitangazwa na kampuni ya Lollipop Aprili 19 mwaka 2016 na kufunguliwa rasmi tarehe 11 Juni 2016 chini ya mwanzilishi wake Seb Lyall pamoja na timu yake. Mgahawa...

TCRA waja na kampeni hii kudhibiti makosa ya mtandaoni.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) James Kilaba amewataka wadau wa mawasiliano nchini kujiepusha na sheria za ukiukwaji wa mitandao kwa kutokusambaza ujumbe ulio na maudhui ya uchochezi na uzushi. James Kilaba ameyasema hayo wakati akizungumza na wahandishi wa habari jijini Dar es Salaam  juu ya matumizi sahihi na salama ya mitandao mbapo amesema kuwa watumiaji...

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa leo Katika Magazeti na Mitandaoni

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa leo Katika Magazeti na Mitandaoni: Nimekuwekea links Hapa Chini zibonyeze: Nafasi za Kazi Bonite Bottlers Nafasi ya Kazi Aims Group ltd Job Opportunities at EFC Tanzania Microfinance Bank Limited Job Opportunity at The united Nations World Food Programmed (WFP) Job Opportunity at CPEX Consulting, Finance Manager Job Opportunities at CVpeople Africa, Sales Executives...

Orijino Komedi Wahojiwa na Kushikiliwa na Jeshi la Polisi Dar

Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, leo Agosti 17, 2016 imewahoji na kuwashikilia wasanii wa Kundi la Orijino Komedi kwa makosa ya kuvaa mavazi yanayoshabihiana na sare za jeshi hilo kinyume cha sheria. Taaifa ya kusakwa kwa Orijino Komedi zilitolewa jana na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kufuatia wasanii hao maarufu wa komedi hapa nchini kuvaa nguo ambazo zinashabihiana na sare...
 

Gallery

Popular Posts

About Us