KINGAZI BLOG: 07/24/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, July 24, 2016

JINSI YA KUOMBA KOZI MBALIMBALI ZA CHETI &DIPLOMA THROUGH NACTE 2016/2017

The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education for academic year 2016/2017. Available Application Categories:-  - Admission into Certificate/Diploma and Higher Diploma Administration, Business, Law, Planning, Social Work, Community Development, Tourism and related Programmes :-Deadline 05/08/2016 Agriculture, Livestock, Engineering, ICT and other related...

Mchungaji Feki na Waombewaji wawekwa Mikononi mwa Polisi DSM

Anayejiita mchungaji David Mwamkinga amejikuta mikononi mwa polisi jijini Dar es Salaam baada ya ndugu wa baadhi ya wafuasi wa mchungaji huyo kuamua kuwatoa ndugu zao waliofungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 10 , kwa lengo la kufanyiwa maombi kutokana na maradhi yanawasumbua. Hatua hiyo inafuatia kilichoelezewa kuwa ni kuzidi kudhoofika kwa hali za waombewaji hao ambapo jeshi la polisi limeingilia...

MAFANIKIO YA RAIS MAGUFULI KATIKA KIPINDI CHA MIEZI 8 ILIYOPITA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 23/06/2016 UTAFITI  MIEZI 8 TOKA MHE RAIS JOHN MAGUFULI AMECHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ndugu waandishi wa habari habari za leo na pole kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa. Taarifa yetu itajikita katika maeneo makuu mawili, Mkutano Mkuu wa CCM na UTAFITI wa Miezi 8 ya Mhe Rais John Magufuli. Taasisi ya CZI ni taasisi huru isiyo...

Sumaye,Lowassa,na Gwajima wachambuliwa Dodoma

VIGOGO mashuhuri wa Chadema waliowahi kuwa mawaziri wakuu; Edward Lowassa na Frederick Sumaye, jana waligeuka gumzo ndani ya Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumchagua Rais John Magufuli, kuwa Mwenyekiti wa tano wa chama hicho. Gumzo hilo, lilianzishwa na Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba, alimpomtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuko na Uzima, Josephat Gwajima, asimpotoshe...

Alichokiandika Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli kupewa uenyekiti wa CCM

Jana July 23 2016  Rais John Pombe Magufuli alikabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM   baada ya kupigiwa kura za ndio 2398  kutoka kwa wanachama wa chama hicho ambapo hakuna kura hata moja ya hapana wala iliyoharibika Baadhi ya viongozi wakiwemo wa vyama vya upinzania walishiri akiwemo mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema, lakini wapo pia waliotamani kufikisha...

Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM

MWENYEKITI wa tano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, amewaomba wanachama wa chama hicho kumuombea kwa Mungu ili apate uvumilivu wa mtangulizi wake, Mwenyekiti mstaafu, Jakaya Kikwete. “Mzee Kikwete wewe una moyo wa uvumilivu. Sina hakika kama mimi ninao uvumilivu kama wako...umetupa fundisho kubwa sana,” alisema Magufuli wakati akizungumza kwa mara ya kwanza baada ya kuchaguliwa...

Picha 8: Mwigizaji Jackline Wolper atangaza kuhama CHADEMA na kijiunga na CCM

Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyakuwa akimuunga mkono Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM rasmi jana Wolper alikaribishwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dkt Jakaya Kikwete baada ya kutangaza kujiunga na CCM. Kitendo hicho kilifanyika katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika jana Julai 23, mkoani Dodoma. ...

Magazeti ya Leo Jumapili ya July 24 kwenye headlines za kitaifa,kimataifa,michezo na udaku

  ...

Tukio la Ujambazi lililofanikiwa zaidi, kusisimua na kuushangaza Ulimwengu

Mwaka 2003 lilitokea tukio kubwa zaidi la ujambazi ambalo labda ndio lililotumia akili na maarifa zaidi pengine kushinda tukio lolote la ujambazi kwa miaka 50 iliyopita.. Tukio hili lilishuhudia wahusika wakitokomea na vitu vyenye thamani ya zaidi ya Bilioni 200 (100 mln USD)!Uthubutu, ubunifu, akili na maarifa yaliyotumika kutekeleza tukio hili limefanya mpaka kampuni ya utengenezaji filamu ya Paramount...
 

Gallery

Popular Posts

About Us