KINGAZI BLOG: 04/26/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 26, 2016

Chris Brown feat. Young Thug & Jeezy – ‘Wrist (Remix)’(AUDIO)

...

Haitham Ft. Mwana FA - Fulani (Official Video)

...

BARNABA - WANIFAA(AUDIO)

...

MAUA SAMA - SISIKII(AUDIO)

...

Yamoto Band & Salamu TMK (Mkubwa na Wanawe) - Dar ya Makonda (AUDIO)

...

Al-Shabab wavamia na kudhibiti kambi ya jeshi Somalia

   Wapiganaji wa al-Shabab wamekuwa wakishambulia kambi za jeshi miezi ya karibuni    Wapiganaji wa kundi la al-Shabab walishambulia kambi ya jeshi nchini Somalia na kuidhibiti kwa muda mapema asubuhi kusini magharibi mwa nchi hiyo. Wapiganaji hao walishambulia kambi ya Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) katika eneo la Daynuunay, wilaya...

NewAUDIO: Nuh Mziwanda ft Alikiba ‘Jike Shupa’

...

TAHADHARI KUBWA!!!!!Kuna Mvua kubwa inashuka, taarifa imetolewa na mamlaka husika.

April 26 2016 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa taarifa  kwa umma ya kuwepo kwa mvua kubwa na upepo mkali, taarifa hiyo ya mamlaka ya hali ya hewa imetaja maeneo yatakayoathirika kuwa ni pamoja na Tanga, Dar es salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba ambapo mvua hizo zinatarajiwa...

Breaking News: Rais Magufuli Aivunja Bodi ya TCRA na Kumsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Hiyo Dr Ally Yahaya Simba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Ally Yahaya Simba kutokana na kutosimamia ipasavyo Mkataba wa utekelezaji wa mfumo wa usimamizi wa mawasiliano ya simu (TTMS), na kusababisha nchi kupoteza mapato ya takriban shilingi bilioni 400 kwa...

VIDEO: SNURA - CHURA(Official video)

...

Aliyekuwa mke wa rais wa zamani nchini Kenya Lucy Kibaki afariki dunia.

Aliyekuwa mke wa rais wa zamani nchini Kenya Lucy Kibaki amefariki. Lucy alifariki katika hospitali ya Bupa Cromwell mjini London.    Alisafirishwa hadi mjini Landon wiki moja iliopita kwa matibabu.   Akithibitisha kifo chake rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa kenya imesikitishwa na kifo cha mama Lucy mke wa aliyekuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki.   Katika taarifa...

Ripoti ya CAG yaanika majipu lukuki.

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa ripoti ya ukaguzi wa hesabu ya mwaka 2014/15 iliyoibua kasoro nyingi kwenye taasisi na mashirika mbalimbali ya serikali huku halmashauri zikibainika kuwa na ‘madudu’ mengi. Ripoti hiyo inaonesha...

CAG :Deni la Taifa Lazidi Kupaa,Lafikia Shilingi Trilion 33. 5

Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh7.05 trilioni, kutoka Sh26.49 trilioni Juni 30, 2014, hadi Sh33.54 trilioni sawa na ongezeko la asilimia 27. Kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad, deni la ndani ni Sh7.99 trilioni huku deni la nje likiwa ni Sh25.55 trilioni....

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 26 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 26 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa  ; ...

Lady Jaydee: Sijawahi kuwa na uhusiano na msanii

Lady Jaydee ameweka bayana kwamba hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii yeyote. Alisema hayo alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa papo katika kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV wakati akizindua video ya wimbo wa ‘Ndindind...

TAKUKURU Yaanza Kuchunguza "Mabilioni ya JK"

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurejeshwa na wakopaji nchi nzima. Msemaji wa Takukuru, Tunu Mleli alisema jana kuwa taasisi hiyo imechukua jukumu hilo kwa sababu moja ya majukumu yake ni kuchunguza masuala ya rushwa na kutoa rai kwa mtu mwenye ushahidi au taarifa kuhusu suala hilo...

Gigy Money Aopoa Kigogo wa Madini..Mwenyewe Adai Wameshibana

Kazi ipo! Video Queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ anadaiwa kuopoa kigogo ambaye ni mfanyabiashara wa madini, mkazi wa jijini Arusha ambaye ndiye mwandani wake anayempa jeuri kwa sasa. ‘Ubuyu’ kutoka kwa chanzo chetu ambacho ni mtu wa karibu wa mwanadada huyo unatonya kuwa, licha ya ‘umapepe’ wa Gigy ambaye kwa sasa safari za Dar na Arusha hazikauki,...

Breaking News :Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania majina haya hapa>>

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara...

KUWA MAKINI SANA!!!!! Aina Mpya ya Uwizi wa Magari Dar es Salaam...Soma Hapa

Gari imeibiwa jana , 23/4/2016 Shopper plaza- Mikocheni, mida ya saa 9 mchana.Ni Volkswagen Tourge, Blue color... Kama umeiona au unajua ilipo au unajua chochote tafadhali piga number hii ‪+255 715 066 278‬ au toa ripoti polisi. . Hii story ntaiandika in full ili na wengine muwe makini mnapokuwa mnauza magari. Dada alieibiwa alitaka kushare ili isije kumtokea...

VIDEO:Maswali na majibu bungeni leo, ishu ya wafanyakazi wa viwanda imemsimamisha Waziri

April 25 2016 Bunge la 11 mkutano wa tatu limeendelea, na Waziri wa Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage alikuwa akijibu maswali ya wabung...
 

Gallery

Popular Posts

About Us