KINGAZI BLOG: 07/11/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, July 11, 2016

INDIA NA TANZANIA ZAINGIA MKATABA WA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI.

  Serikali ya India na Tanzania zimesaini mikataba ya miradi ya maendeleo katika sekta za maji, kilimo, viwanda, teknolojia ya habari na mawasiliano na afya katika kuimarisha mahusiano ya nchi hizo mbili ili kusaidia wananchi wake.  Mikataba hiyo imesainiwa jana, wakati Waziri Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi alipokuakifanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe....

KIONGOZI WA ISIS AKIRI KWAMBA WANAFADHILIWA NA UTAWALA WA OBAMA

Kiongozi wa ISIS kwa jina Yousef al-Salafi kutoka Pakistan amekubali kwamba kundi lao la ISIS linafadhiliwa na Marekani, kutoka utawala wa Obama. Habari hii ilikuja kutoka serikali ya Pakistani mara baada ya kuhojiana na Yousef na kupokea taarifa hii. Chanzo kilichofanya uchunguzi wa siri kilisema: Wakati wa uchunguzi,Yousaf al Salafi alibainika kuwa alikuwa akipata fedha kutoka Marekani- kuendesha...

VIDEO :MASANJA MKANDAMIZAJI AMVISHA PETE MCHUMBA WAKE

Miongoni mwa vitu vinavyozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na picha zinazomuonyesha Masanja Mkandamizaji akimvisha pete msichana anaedaiwa kuwa mchumba wake,kwenye picha hizo Masanja na mchumba wake huyo wanaonekana  ...

ALICHOANDIKA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ KUHUSU WEMA SEPETU

Mtu wangu wa nguvu najua mitandao ya kijamii ina nguvu sana siku hizi, jumapili ya July 10 2016 mama mzazi wa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz amempost Wema Sepetu ambaye alikuwa ni girlfriend wa zamani wa Diamond Platnumz. Picha aliyopost mama Diamond kendrah_michaelUzalendo kwanza..umependeza sanaa mamy akee Najua ni kipindi kirefu kimepita toka toka Diamond Platnumz na Wema waachane, tokaDiamond...

TAZAMA PICHA ZA GAUNI LA MAMA DIAMOND PLATNUMZ UTADHANI NI MDADA

...

Hatimaye!! Ureno yatwaa ubingwa wa Ulaya, Euro 2016

 Timu ya taifa ya Ureno imetwaa ubingwa michuano ya Ulaya, Euro 2016, kwa kuwafunga wenyeji Ufaransa 1-0 katika dakika za ziada kwenye mchezo wa fainali mjini Paris. Goli la ushindi lilifungwa na Eder katika dakika ya 110, na kupeleka kilio na huzuni kwa mashabiki wa Ufaransa waliofurika kwenye uwanja wa Stade de France. Ilikuwa furaha kubwa kwa mashabiki wa Ureno. Hii ni mara ya kwanza...

RC PAUL MAKONDA AANDIKA HII KUHUSU ZARI THE BOSS LADY

...

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULAI 11KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA NA MICHEZO

  ...

GIGY MONEY aamua kuachia picha hizi za nusu utupu mtandaoni hebu jionee

...

Bella, Wema, Idris Walivyofunika Katika Black Tie

Usiku wa kuamkia leo, staa wa Bongo Muvi, Wema Abraham Sepetu pamoja na mwandani wake, Idris Sultan waliiongoza shoo ya Black Tie iliyokuwa maalum kwa King Of The Best Melodies, Christian Bella iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa King Solomoni, Kinondoni jijini Dar. Katika shoo iliyohudhuriwa na mashabiki kibao, Bella alikuwa akisherehekea kutimiza miaka 10 tangu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us