KINGAZI BLOG: 10/17/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, October 17, 2016

Watumishi TBS na TRA Waliohusika n a Upotevu wa Makontena 100 Bandarini Watakiwa Kujisalimisha Haraka kabla Hawatumbuliwa

Serikali imewataka baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) walioshirikiana na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitisha  makontena zaidi ya 100 bila kukaguliwa na shirika hilo katika Bandari ya Dar es Salaam kujisalimisha haraka. Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage alitoa agizo hilo jana wakati akizindua baraza la wafanyakazi wa TBS. “Nimeanza...

CHOMBEZO: NILAMBE HUMOHUMO ==2

Nilambe Humo Humo - 2 MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA SEHEMU YA PILI Unadhani nilifanikiwa kuinua domo langu na kumwambia japo ninakupenda tu? Thubutu! Kila nilipojitahidi kusema sasa nimwambie, ulimi ulikuwa mzito na pale ulipokuwa mwepesi maneno yalifanya mgomo!  Mgomo ulipojisahau yalitoka maneno mengine tofauti kabisa na ninakupenda!  Mpaka muda wa maongezi niliomuomba tuongee...
 

Gallery

Popular Posts

About Us