KINGAZI BLOG: 07/17/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, July 17, 2016

Mtoto aliyewekewa ‘mashine’ kwenye moyo aanza mazoezi

Mtoto Happiness John Mkazi wa Seliani Arusha aliyefanyiwa upasuaji kwenye moyo na kupandikiziwa kifaa cha kusaidia kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker), ameanza mazoezi.  Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto, Sulender Kuboja aliyeshiriki upasuaji huyo alisema jana kuwa hali ya mtoto huyo inaendelea vizuri na wameanza kumfanyia mazoezi mepesi.  Dk Kuboja alisema kwa kawaida mgonjwa...

Tume ya vyuo vikuu(TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza utaratibu mpya kwa watahiniwa wa mwaka mpya wa masomo wa 2016/2017 wanaochukua shahada, huku wanafunzi wengi wakiwa hatarini kukosa nafasi kwa kukosa sifa na vigezo. Utaratibu huo mpya umekuja ikiwa ni miezi miwili sasa tangu kutumbuliwa kwa watendaji wa tume hiyo kutokana na kudahili wanafunzi wasio na sifa na kusababisha kupewa mikopo na Bodi ya Mikopo...

UTAFITI:WANAUME WANAPENDA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA

Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ? Katika majarida mengi umewaon wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya .Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma.Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent...

BASATA WATOA TAMKO KALI KWA MASTAA WALIOTOA BEI ZA KUJIUZA  

DAR ES SALAAM: Wakati serikali ikitangaza vita dhidi ya watu wanaojihusisha na biashara ya ngono, ripoti mpya iliyokusanywa inaonesha viwango vya fedha vinavyolipwa na wahitaji ili kuweza kupata huduma hiyo kutoka kwa mastaa wa fani mbalimbali nchini. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba mastaa hao wa Bongo Fleva na filamu ambao wamekuwa wakijiuza kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook,...

VIDEO YA "KIDOGO" YA Diamond Platnumz YAFIKISHA WATAZAMAJI ZAIDI YA MILLIONI 1.

Diamond Platnumz ameendelea mkushika hisia za watu baada ya kuendelea kuongeza idadi ya watazamaji wa video ya wimbo wake mpya wa KIDOGO aliowashirikisha  PSQUARE  hatimaye imefikisha watazamaji millioni moja kwa siku nne pekee. Video ya wimbo huo imetoka katika kipindi ambacho kundi la P-Square bado halina maelewano mazuri.kama hukuiona video ni hii hapa chini.bofya kuo...

BREAKING NEWS:PICHA 3 !!!!AJALI ENEO LA MIKUMI LEO

LORI LIKIWA LIMEACHA NJIA NA KUPINDUKA KATIKA ENEO LA HIFADHI YA MBUGA YA MIKUMI LEO JUMAPILI TAR 17 JULAI MPAKA SASA BADO TUNAENDELEA KUFUATILIA CHANZO NA TAARIFA TUTAENDELEA KUKUJULISHA BONYEZA HAPA KUONA MATOKEO YA ACSEE KIDATO CHA SITA,UALIMU(DSEE NA GATCE ) 2016>>>>>>>P...

VIDEO:DARASA --Too Much | Watch/Download

BONYEZA HAPA KUO...
 

Gallery

Popular Posts

About Us