KINGAZI BLOG: 05/24/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 24, 2016

Polisi waendelea kumhoji Maalim Seif

Jeshi la Polisi Zanzibar litamhoji Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad Ijumaa ya wiki hii kuhusu masuala mbalimbali ambayo hata hivyo, hayakuwekwa wazi. Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdani Makame alisema jana:“Natambua kuwa wasaidizi wangu watazungumza naye Ijumaa. Wao ndiyo wanajua watamhoji nini.” Alipoulizwa kuhusu mahojiano hayo, Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Zanzibar,...

Waliokosa Ubunge Walipuliwa Bungeni......Mbunge Adai NHC Imepoteza Mwelekeo

Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (CCM), maarufu kwa jina la ‘Maji Marefu’ amewalipua wabunge waliokosa ubunge katika kipindi hiki na vilivyopita kwa kuhodhi nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mjini Dodoma na kupangisha watu wengine kinyume cha utaratibu wa shirika hilo. Alisema hali hiyo imefanya wabunge wapya, ambao ni asilimia 70 ya wabunge wote kwa sasa, kukaa nyumba za kulala...

Picha za Mbunge Zitto Kabwe Akimvisha Mwanamke Pete ya Uchumba Hizi Hapa

 Mwanasiasa Zitto Kabwe Ameamua kuacha ukapela, kwenye picha akionekana kumvisha pete ya ya uchumba mchumba wake anayetarajia kumuoa...

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mshauri wa Rais Katika Masuala ya Uchumi

 Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mshauri wa Rais Katika Masuala ya Uchum...

Wafugaji jamii ya Wadatoga wilayani babati wajificha vichakani kupinga kuhamishwa .

vitatu wilayani Babati mkoani Manyara wakiwa na silaha za jadi mishale na mikuki wanalazimika kulala nje ya maboma yao wakipinga uamuzi wa serikali wa kutaka kubomoa maboma 11 kati ya 25 yaliyopo katika eneo la Maramboi linalopakana na mwekezaji raia wa Ufaransa kwa madai kwamba kumekuwepo na ongezeko la wafugaji ambao si wakazi wa kijiji hicho na wamekuwa wakiingiza mifugo yao katika eneo la mwekezaji...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yusufu amejibu upya swali lililomponza bosi wake wa zamani, Charles Kitwanga.

Uamuzi wa kurudia swali hilo ulitolewa juzi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisema swali hilo lilijibiwa katika hali ya ulevi na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na wabunge wakaomba mwongozo kuhusu majibu yaliyotolewa. Kitwanga aliondolewa katika nafasi yake na Rais John Magufuli baada ya kujibu ya swali hilo akiwa amelewa. Leo, Masauni amejibu swali hilo namba 211 la Mbunge wa Viti Maalumu...

Serikali imefanikiwa kukamata takribani kilo 139.69 za dawa za kulevya ikiwemo kilo 53.49 za Heroin, Cocaine kilo 86.2 kuanzia mwaka 2015 mpaka Aprili mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Elimu, Habari na Takwimu wa tume hiyo, Amani Msami, pia tume hiyo imekamata tani 97 za bangi na mirungi. Alisema mbali na kukamata kilo hizo, takwimu zinaonesha kuwa watumiaji wa Heroin nchini wanakadiriwa kuwa kati ya 200,000 hadi 425,000 ambapo kati ya hao 30,000...

CHADEMA:JPM MFUATE LOWASSA AKUSHAURI TATIZO LA SUKARI

Monduli. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Rais John Magufuli kuweka siasa kando na kuomba ushauri kwa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ili kutatua tatizo la kuadimika kwa sukari. Kauli hiyo ilitolewa na naibu katibu mkuu wa Chadema, Salim Mwalimu juzi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Moto wilayani hapa Mkoa wa Arusha ambako Lowassa alizungumza na wananchi kuwashukuru...

Alikiba Awaomba watanzania kumpigia Kura Diamond Platnumz

Alikiba alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusisitiza kuwa yeye kusaini mkataba na kampuni ya ‘Sony Music’ jambo kubwa sana katika maisha yake ya muziki. “Kiukweli toka nimerudi rasmi kwenye game na kutoa wimbo wa Mwana mashabiki walipokea vizuri sana Africa Mashariki, na kadili nilivyokuja kutoa wimbo mwingine wa Chekecha walizidi kuongezeka mashabiki na kujiona...

Magazeti ya Leo Jumanne ya May 24 kwenye habari za kitaifa kimataifa udaku na michezo.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us