
* Ndugai atoa ufafanuzi wa tuhuma za rushwa
*Asema vyombo vya dola kufanya uchunguzi
*Kamati iliyosusa yaendelea na vikao Dar
SIKU moja baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai,
kupangua wenyeviti na makamu wenyeviti kwa kuwaondoa kwenye kamati
walizokuwa wanaziongoza, hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa
(Takukuru), imewahoji...