KINGAZI BLOG: 03/24/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, March 24, 2016

Kleyah - African Drum (Official Video)

...

RUBY FT WAKAZI - SIJUTII RMX(AUDIO)

...

VANESSA MDEE - NIROGE(AUDIO)

...

download: Vanessa Mdee - Niroge (Official Video)

...

VIDEO;Dkt.Shein aapishwa kuwa Rais wa zanzibar

 Hatimaye Rais wa zanzibar Dkt.Ally mohammed Shein ameapishwa kuwa rais wa awamu ya saba visiwani zanzibar nakuwahakikishia wananchi wa zanzibar kuendelea kuwa mstari wa mbele kulinda na kuitetea amani ya zanziba...

9, wajitosa uspika Zanzibar.

  VITA ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar imepamba moto, huku mchuano mkali ukionekana kuwa kati ya Spika aliyemaliza muda wake, Pandu Ameir Kifich...

Snura: Sitaki mtoto mwingine wa nje ya ndoa

LICHA ya kuwa na watoto wawili kwa baba tofauti, mkali wa kuimba na kunengua, Snura Mushi, amesema kwa sasa hataki apate mtoto mwingine hadi atakapoolewa. Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Chura’ alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi...

Dayna: AY na Prezzo wameniponza.

MSANII wa Bongo Fleva, Diana Nyange ‘Dayna’, amesema kilichosababisha wakaachana na mchumba wake ni wivu wa mapenzi uliotokana na picha aliyopiga na wasanii wawili wa Kenya, Wahu na Prezzo pamoja na Mtanzania, Ambwene Yessaya ‘AY’...

Wabunge wahojiwa Takukuru

* Ndugai atoa ufafanuzi wa tuhuma za rushwa *Asema vyombo vya dola kufanya uchunguzi *Kamati iliyosusa yaendelea na vikao Dar SIKU moja baada ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai, kupangua wenyeviti na makamu wenyeviti kwa kuwaondoa kwenye kamati walizokuwa wanaziongoza, hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru), imewahoji...

Miaka 20 jela kwa kumiliki digidigi

MKAZI wa Mabibo, Dar es Salaam, Abraham Warioba (50),  amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh milioni 39, baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki digidigi 20 kinyume cha sheri...

Askari wanaswa wakiiba mafuta ya ndege

VITA ya kutumbua majipu kwa watumishi wa Serikali wasiokuwa waaminifu imeendelea kushika kasi, baada ya jana Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni kuagiza kusimamishwa kazi mara moja askari watatu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa tuhuma za wizi wa mafuta ya ndege na mizigo ya abiria...

Rais Shein kuapishwa leo

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein akipiga kura katika uchaguzi wa marudio. RAIS Mteule wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein anaapishwa leo kwenye Uwanja wa...

Mwili wa Sarah Dumba kuletwa Dar leo

Marehemu Sara Dumba. MKUU wa Wilaya ya Njombe, Sarah Dumba aliyefariki ghafla juzi, amefanyiwa ibada na kuagwa rasmi na wakazi wa wilaya aliyokuwa akiiongoza, ambapo mwili wake unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam leo asubuhi kwa maziko. Akizungumza na gazeti hili...

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS YA TAR 24 MARCH 2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA UDAKU NA MICHEZO PIA STORI NYINGINE KALI.

March 24 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye habari za kitaifa,kimataifa,udaku na , Michezo ili ujue yaliyojiri duniani. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog na  twitter@TZmpyasas...
 

Gallery

Popular Posts

About Us