KINGAZI BLOG: 07/18/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, July 18, 2016

Rais Magufuli aibua ufisadi mwingine wa mabilioni ya shilingi ndani ya Jeshi la Polisi

Rais Magufuli amelitaka Jeshi la Polisi kujiepusha na vitendo vya rushwa ambavyo vilinafanya jeshi hilo kukosa heshima katika jamii huku akisema kuwa ana taarifa za jeshi hilo kuingia katika makubaliano ya kifisadi ya mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kununua sare za jeshi hilo. Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokuwa akiwaapisha makamishna wa Jeshi la Polisi waliopandishwa vyeo na kuongeza...

Wema, Idris wamwagana rasmi

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Idris Sultan UBUYU: Waandishi Wetu, Wikienda  DAR ES SALAAM: Ubuyu wa motomoto wa mjini ni kwamba, zile mbwembwe zote za penzi la mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Idris Sultan, zinadaiwa kufikia ukingoni na sasa imebaki stori kwani Wema, Idris wamwagana rasmi. Wikienda limeng’atwa sikio kuwa, kitendo cha wawili hao ‘kushoo lavu’ kwenye ile Pati...

Askofu Gwajima Aibuka kanisani kwake.

KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, amefunguka kwa kuelezea safari yake aliyoifanya nje ya nchi hivi karibuni, baada ya taarifa mbalimbali kudai kuwa alilikimbia Jeshi la Polisi. Akiongoza ibada kanisani kwake, Ubungo, jijini Dar es Salaam jana, Askofu Gwajima alisema aliondoka nchini kwenda Japan Juni 15, mwaka huu, kwa ndege ya Emirates. Akitoa mahubiri katika...

AJIRA!! Nafasi ya kazi Synarge Group of Companies mwisho 20 Aug 2016

Job Vacancy >Godown/Stores Assistant Supervisor Location > Dar Es Salaam  Position Type > Full Time  Organization Type >Company Application Deadline: 20 Aug 2016 GODOWN/STORES ASSISTANT SUPERVISOR POSITION DESCRIPTION: Position Description Document (download)  APPLICATION INSTRUCTIONS: Please e-mail your CV & certificates via APPLY NOW below...

NISHA AELEZA MAJUNGU NA WIVU VILIVYOMTENGA NA MARAFIKI ZAKE

  Stori: Hamida Hassan, Wikiend DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye kutokuwa na marafiki wa kike kuwa ni majungu na wivu tofauti na marafiki wa kiume. Nisha ameliambia Wikienda kuwa, watu wengi wamekuwa wakimuuliza sababu ya kuwa na marafiki wa kiume pekee na siyo wa kike ambapo amekuwa akiwajibu kuwa si kwamba hakuwahi kuwa nao lakini...

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULAI 18 KWENYE HEADLINES ZA UDAKU,KITAIFA,KIMATAIFA MICHEZO.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us