KINGAZI BLOG: 07/01/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, July 01, 2016

RAIS KAGAME AWASILI NCHINI-APOKEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Rais wa Rwanda Paul Kagame akiwa na mkewe Jeannette Kagame wakipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es...

Kodi ya Miamala ya Tigopesa, M-Pesa, Benki na Airtel Money Kuanza Kutozwa Rasmi Leo Julai Mosi

Leo ndiyo mwanzo wa utekelezaji wa Sheria Fedha (Finance Act, 2016) iliyopitishwa katika Bajeti ya 2016/17 ambapo Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) itatozwa katika huduma za mitandao ya simu, benki na taasisi za fedha. Akisoma hotuba ya bajeti bungeni hivi karibuni, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango pamoja na mambo mengine, alipendekeza kuongeza kodi hiyo katika huduma za...

MARUFUKU WANANCHI KUKATWA ASILIMIA 18 YA VAT KATIKA HUDUMA MBALIMBALI ZA TAASISI ZA FEDHA NA SIMU

Kamishina Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Nchini (TRA ), Alphayo Kidata akizungumza na waandishi habari juu zuio la taasisi za fedha na kampuni za simu kukata miamala ya kodi ya ongezeko la thamani VAT leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kamishina wa Mapato ya Ndani wa TRA, Elijah Mwandumbya . Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Kamishina Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Nchini (TRA ), Alphayo Kidata...

Ukitaka kufanikiwa katika maisha hebu fanya haya

Safari ya kuelekea kwenye mafanikio inahitaji ujasiri, sio ujasiri tu bali ujasiri wa hali ya juu sana, kama ilivyo ujasiri alionao simba awapo mwituni, katika kusaka riziki yake ili kuhakikisha ya kwamba halali au hafi kwa sababu ya njaa. Ujasiri huo huo alikuwa nao simba ndio ambao unauhitaji wewe ndugu yangu, katika safari ya kujifunza, chukua muda wa kujivika taswira ya kiujasiri ili ufanikiwe...

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) atakiwa kuchukia Hatua Stahiki Dhidi ya Aliyemtukana Magufuli

SERIKALI imemtaka Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuchukua hatua stahiki katika shauri la kesi ya jinai namba 100 ya Jamhuri dhidi ya Isaac Emily aliyeadhibiwa kulipa faini kwa kumtukana Rais John Magufuli mtandaoni. Hayo yamesemwa jana bungeni na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe wakati akitoa kauli ya serikali baada ya mwongozo ulioombwa na wabunge wa CCM, Juma Nkamia wa Jimbo la...

HEBU SOMA KAULI HII YA DIAMOND PLATINUMZ!!! LAZIMA UTAMKUBALI TUU CHIBU

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz ametoa kauli tata kuhusu uchawi na kuibua minong’ono mingi katika mitandao ya kijamii kuhusu wasanii kurogana. Muimbaji huyo ambaye ana tuzo nyingi za kimataifa kuliko msanii yeyote nchini licha ya kukosa tuzo ya BET na kwenda kwa Black Coffee wa Afrika Kusini , alipost ujumbe wa ujio wa kazi yake mpya aliyowashirikisha wasanii wa kundi laP Square wa...

Mbowe: Alichokisema Lissu Kuhusu Dikteta Uchwara ni Kauli ya CHADEMA

Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe mara baada ya Wakili msomi wa CHADEMA Tundu Lissu kupata dhamana. (amezungumza na wandishi wa Habari) Freeman Mbowe amesema kauli hiyo niyawapenda demokrasia wote Tanzania na nikauli ya CHADEMA kwa hiyo chama kitakua kila hatua kwenye kesi hiyo......

RUBY AFUNGUKA MENGI KUHUSU YAMOTO BAND WALIVYO MFANYIA (AJUTA)

Msanii Ruby ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa Yamoto Band unaofahamika kwa jina la 'Suu' amefunguka na kupinga kauli iliyotolewa na maneja wa Yamoto Band, Mkubwa Fella kuwa yeye ana stress ndiyo maana maana alishindwa kutokea kwenye video. Akiongea na Planet bongo ya East Africa Radio Rubby amesema Yamoto Band hawakuona umuhimu wake kwenye video hiyo ndiyo maana waliweza kushoot video hiyo...

Waziri Mkuu awataka wabunge wa upinzani kurejea Bungeni .

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo, Bungeni Mjini Dodoma amewataka wabunge wa upinzani ambao wamesusia vikao vya Bunge tangu Mei 30 kuingia Bungeni na kuacha kususia vikao vya Bunge kwani hakuna tija kwa Taifa. Mhe. Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa akitoa hutuba ya kuhitimisha mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na moja. “Kitendo cha baadhi ya waheshimiwa wabunge kususia vikao vya...

HII HAPA JOINING INSTRUCTIONS KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO (FORM 5) MWAKA 2016

Chagua Mkoa >> Arusha >> Dar-es-alaam >> Dodoma >> Geita >> Iringa >> Kagera >> Katavi >> Kigoma >> Kilimanjaro >> Lindi >> Manyara >> Mara >> Mbeya >> Morogoro >> Mtwara >> Mwanza >> Njombe >> Rukwa >> Ruvuma >> Shinyanga >> Simiyu >> Tabora >> Tanga BONYEZA...

Video!!!! ALICHOKISEMA TUNDU LISSU BAADA YA KUPEWA DHAMANA JANA NA KUTOKA MAHABUSU.

June 30 2016 Mbunge wa Singida Mashariki, ‘CHADEMA’ Tundu Lissu amesomewa shitaka lake la kutoa maneno ya uchochezi nje ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu June 28 2016 kinyume cha kifungu namba 32 ya sheria ya magazeti. Lissu amekana shtaka hilo na ameachiwa kwa dhamana na hatotakiwa kusafiri nje ya nchi bila kibali cha mahakama. Inadaiwa Lissu alitoa maneno ya uchochezi nje ya...

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo JUNI 1 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na stori za Udaku.

Karibu tunakuletea headlines za magazeti ya leo Julai  1 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na udaku,Usisahau kulike  Page yetu ya facebook hapo chini ili ujue kilichojiri muda wowote  ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us