KINGAZI BLOG: 07/13/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, July 13, 2016

HIZI NDIZO PICHA ZINAZOCHEKESHA SANA MTANDAONI HEBU JIONEE MWENYEWE

...

Jionee picha!!Hawa ndio wanadada wanaosumbua mtandaoni kwa kuwa na 'Shape' bomba zaidi duniani.

Moja ya vitu vinavyopendwa sana na kuwavutia Wanaume kwa sasa ni maumbo 'Shape' au kwa lugha nyingine 'figure' ya manamke, Mwanamke mwenye shepu bomba hata akikatisha njiani wanaume lazima wageuka na kumuangalia alivyoumbika,in hulka waliyonayo wanaume wengi, Haya  hapa ni baadhi ya Maumbo matata yanayopendwa sana na wanaume. ...

Vinara wa Kutengeneza nyaraka bandia watiwa mbaroni

Watu watatu wanaosadikiwa kuwa vinara wa kutengeneza vyeti bandia pamoja na nyaraka mbalimbali za Serikali wamekamatwa eneo la Buguruni wakiwa na mitambo yao.  Kukamatwa kwao kulitokana na msako mkali uliofanywa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam hivi karibuni na hatimaye watuhumiwa walinaswa wakiwa nyumbani wanakoishi eneo la Buguruni Ghana wakitengeneza nyaraka bandia. Kamanda...

Magazeti ya Leo jumatano julai 13 kwenye headlines za udaku,Kitaifa kimataifa michezo

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us