KINGAZI BLOG: 04/05/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 05, 2016

JASON DERULO - IF IT AIN'T LOVE (AUDIO)

...

IYANYA - TYPE OF WOMAN(AUDIO)

...

JOSE CHAMELEONE - FT KETCHUP - PAM PAM RMX(AUDIO)

...

KISS DANIEL - MAMA(AUDIO)

...

BABY BOY FT BECKA TITLE - NIKO FRESH(AUDIO)

...

YCEE - MOVE(AUDIO)

...

New AUDIO | Rich Mavoko - Akitaja | Download

...

Rais wa ZANZIBAR azindua Baraza la Wawakilishi

Rais wa ZANZIBAR na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. ALI MOHAMED SHEIN amehutubia baraza la wawakilishi na kueleza mikakati ya serikali yake Rais wa ZANZIBAR na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. ALI MOHAMED SHEIN Rais wa ZANZIBAR  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. ALI MOHAMED SHEIN amehutubia baraza la wawakilishi na kueleza mikakati ya serikali yake katika kipindi...

USHIRIKINA;.Walimu Walazwa UCHI na Kuchapwa Viboko

Ofisi ya Elimu wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani imelazimika kuwapa likizo walimu saba wa Shule ya Msingi Mingwata ili kuwajenga kisaikolojia...

Dayna Nyange Adai Anapenda Kuvaa Nguo za Kuacha Kiuno Chake Wazi

Msanii wa kike, Dayna Nyange amedai anapenda kuvaa nguo ambazo zinaacha wazi sehemu ...

HUYU NDIYE MSICHANA AMBAYE DIAMOND HUMFIKIRIA AKITAKA KUTUNGA WIMBO WOWOTE

Diamond Platnumz ni bingwa wa kuandika nyimbo za kuachwa, kuumizwa na kutendwa kimapenzi. ...

Makamu wa Rais wa Kenya Ruto asubiri uamuzi muhimu mahakama ya ICC

Image copyrightAFPImage captionBw Ruto anataka kesi dhidi yake iondolewe Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto atafahamu leo iwapo kesi inayomkabili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) itatupiliwa mbali...

App ya simu ya Taliban yatolewa sokoni

Image captionWapiganaji wa Taliban wamekuwa wakipigana Afghanistan na Pakistan Alemarah, programu inayotumiwa katika simu za Android iliyoundwa na kundi la wapiganaji wa Taliban imeondolewa kwenye...

Magufuli aokoa bil 2/- sherehe za Muungano

I  Kuchapa    Barua pepe Rais Dkt John Magufuli  RAIS John Magufuli ameahirisha shamrashamra za maadhimisho ya siku ya Muungano na hivyo kuwezesha kuokoa zaidi ya Sh bilioni mbili, alizoagiza zikaanzishe...

HAYA HAPA MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOANDIKA LEO JUMANNE,APRIL 05,2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,UDAKU,MICHEZO NA STORY NYINGINE KALI

April 5 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysa...

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU WAHISANI KUENDELEA KUTOA MISAADA KWA WATANZANIA.

Serikali imetoa tamko kuhusu wahisani kuendelea kuisaidia Tanzania katika bajeti Kuu ya 2016/201...
 

Gallery

Popular Posts

About Us