Adele
Mwanamuziki wa
muziki wa Pop Adele ameomba msamaha baada ya shabiki mmoja kujeruhiwa...
Saturday, March 26, 2016
Mkenya aliyejiweka katika picha za wengine
Sevelyn
Mwanamke mmoja kutoka Kenya amejiweka katika msururu wa picha za likizo za watu wengine katika mtandao wake wa facebook.
Sevelyn
Baada ya kushindwa kuwa na uwezo...
SHARE!
Video za Justin Bieber zatazamwa mara bilioni 10
Published Under
TOP STORIES
Justin Bieber
Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10.
Msanii
huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba alipata
idadi hiyo katika kipindi cha miaka sita na miezi mitatu au siku 2,31...
SHARE!
Wanariadha wala sabuni wakidhania ni chakula
Published Under
STORI KALI
Wanariadha
waliokuwa wanakimbia mbio ndefu za marathon walijipata wamekula sabuni
baada ya kudhania kwamba zilikuwa chakula kutokana na kukosa kuelewa
lugha ya kiingereza.
Takriban wanariadha 20,000 katika mbio za
Qinyuan marathon kusini mwa mkoa wa Guangdong nchini Uchina walipata
zawadi mda mfupi baada ya kumaliza mbo hizo katika utepe kulingana na
gazeti...
SHARE!
Wagombea warushiana matusi Marekani
Published Under
US Election
Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya
chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za
matusi katika mjadala
Wagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake z...
SHARE!
New AUDIO | Shery Zuu Ft. Msaga Sumu - Babu Uyo | Download
Published Under
NEW AUDIO

DOWNLOAD via HULKSHARE...
SHARE!
MAALIM SEIF AREJEA ZANZIBAR BAADA YA MAPUMZIKO HOTELINI DAR.
Published Under
ZANZIBAR
Siku
chache baada ya Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kuapishwa baada
ya kushinda uchaguzi wa marudio uliosusiwa na baadhi ya vyama vya
upinzani, Katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif
Hamad, amerejea Zanzibar.
Maalim Seif ambaye alikuwa mapumzikoni katika hoteli ya Serena iliyopo
jijini Dar es Salaam kwa takribani siku 17, jana alirejea Zanzibar
kuendelea...
SHARE!
Majambazi mipaka ya Kenya, Tanzania wauawa
Published Under
KITAIFA
Sehemu ya eneo la Isebania nchini Kenya
WATU sita, wakiwemo wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi hatari katika
mipaka ya Tanzania na Kenya, wameuawa katika mji wa Isebania, Kenya
wakati wa uporaji fedha kutoka duka la mfanyabiashara wa vifaa vya
ujenzi katika eneo ...
SHARE!
Kificho ang’oka uspika zanzibar
Published Under
ZANZIBAR
Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid,
ALIYEKUWA Spika wa Baraza la Wawakilishi kwa zaidi ya miaka 20 sasa,
Pandu Ameir Kificho, ameng’olewa katika nafasi hiyo baada ya kushindwa
katika kura za kuwania awamu nyingine ya uongozi wa...
SHARE!
Haya hapa Magazeti ya leo March 26 2016 kwenye,habari za`kitaifa kimataifa Udaku, na michezo
Published Under
MAGAZETINI LEO
March 26 2016 nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog, pia kwenye twitter @tanzaniampysasa.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)