KINGAZI BLOG: 03/26/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, March 26, 2016

Adele aomba msamaha baada ya shabiki kujeruhiwa

Adele Mwanamuziki wa muziki wa Pop Adele ameomba msamaha baada ya shabiki mmoja kujeruhiwa...

Mkenya aliyejiweka katika picha za wengine

 Sevelyn Mwanamke mmoja kutoka Kenya amejiweka katika msururu wa picha za likizo za watu wengine katika mtandao wake wa facebook.   Sevelyn Baada ya kushindwa kuwa na uwezo...

Video za Justin Bieber zatazamwa mara bilioni 10

  Justin Bieber Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10. Msanii huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba alipata idadi hiyo katika kipindi cha miaka sita na miezi mitatu au siku 2,31...

Wanariadha wala sabuni wakidhania ni chakula

Wanariadha waliokuwa wanakimbia mbio ndefu za marathon walijipata wamekula sabuni baada ya kudhania kwamba zilikuwa chakula kutokana na kukosa kuelewa lugha ya kiingereza. Takriban wanariadha 20,000 katika mbio za Qinyuan marathon kusini mwa mkoa wa Guangdong nchini Uchina walipata zawadi mda mfupi baada ya kumaliza mbo hizo katika utepe kulingana na gazeti...

Wagombea warushiana matusi Marekani

Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za matusi katika mjadala Wagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake z...

New AUDIO | Yemia Alade Ft. Sauti Sol - Africa | Download

...

New AUDIO | Shery Zuu Ft. Msaga Sumu - Babu Uyo | Download

DOWNLOAD via HULKSHARE...

Official VIDEO | Sam Misago - Ballin And Chillin

...

MAALIM SEIF AREJEA ZANZIBAR BAADA YA MAPUMZIKO HOTELINI DAR.

Siku chache baada ya Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kuapishwa baada ya kushinda uchaguzi wa marudio uliosusiwa na baadhi ya vyama vya upinzani, Katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea Zanzibar. Maalim Seif ambaye alikuwa mapumzikoni katika hoteli ya Serena iliyopo jijini Dar es Salaam kwa takribani siku 17, jana alirejea Zanzibar kuendelea...

Majambazi mipaka ya Kenya, Tanzania wauawa

Sehemu ya eneo la Isebania nchini Kenya WATU sita, wakiwemo wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi hatari katika mipaka ya Tanzania na Kenya, wameuawa katika mji wa Isebania, Kenya wakati wa uporaji fedha kutoka duka la mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi katika eneo ...

Kificho ang’oka uspika zanzibar

Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid, ALIYEKUWA Spika wa Baraza la Wawakilishi kwa zaidi ya miaka 20 sasa, Pandu Ameir Kificho, ameng’olewa katika nafasi hiyo baada ya kushindwa katika kura za kuwania awamu nyingine ya uongozi wa...

Haya hapa Magazeti ya leo March 26 2016 kwenye,habari za`kitaifa kimataifa Udaku, na michezo

March 26 2016 nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us