KINGAZI BLOG: 08/01/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 01, 2016

Ongeza Nguvu za Kiume kwa Viagra za Kiasili

Kujiamini kwa mwanaume lijali ni pale anapomtosheleza mwenzi au mpenzi wake wakati wa kufanya mapenzi. Na furaha ya mwanamke ni pale anapofikishwa kwenye utoshelevu anaoutarajia kutoka kwa mwanaume au mwenzi wake wakati wa kufanya mapenzi. Kutokana na uhitaji na shauku ya kutaka kuwafikisha wapenzi wao kwenye utoshelevu imewalazimu baadhi ya wanaume kutumia madawa ya kuongeza nguvu...

Mrema akutana na Madereva Bodaboda wa Kinondoni........Awataka wampe majina ya polisi wanaowalazimisha kutoa rushwa

Mwenyekiti wa Parole Augustino Mrema amewataka madereva bodaboda kote nchini kujiepusha na tabia za kushiriki maandamano ya kisiasa yanayoandiwa na baadhi ya wanasiasa kwa lengo la kuvunja sheria za nchi. Pia amewaagiza waendesha bodoboda Kinondoni wampe majina ya polisi wanaowalazimisha kutoa rushwa ili ayakabidhi kwa rais Magufuli Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole Mhe. Augustine Mrema ( Mwenye...

Taarifa Toka Ikulu: Rais Magufuli Katoa Maagizo Mazito Kwa Viongozi Wote Hapa Nchini........Pia Katoa Onyo Kali Kwa Walimu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wote wa kuanzia ngazi ya Mkoa hadi Kitongoji hapa nchini kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutoa elimu bila malipo kwa lengo la kudhibiti mianya ya matumizi mabaya ya fedha hizo. Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo tarehe 01 Agosti, 2016 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika...

Mikojo ya walevi kutumika kutengenezea bia

GHENT, Ubeligiji WATUMIAJI wa pombe sasa wataweza kupata auheni ya bei ya vinywaji hivyo, baada ya wanasayansi kugundua kifaa maalumu kitakachotumika kubadilisha mikojo ya walevi kutumika kutengenezea bia. Kugunduliwa kwa kifaa hicho ni mkombozi kwa wamiliki wa viwanda vya pombe ambapo wataweza kupata malighafi ya kutengenezea bia kwa urais. Kinatarajiwa kufungwa kwenye vyoo vya baa mbalimbali...

Waziri Mkuu: Wakurugenzi Watakaotoa Taarifa Za Uongo Kufutwa Kazi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitasita kuwaondoa katika nyadhifa zao Wakurugenzi wote watakaoshiriki katika kutoa taarifa za uongo kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. “Serikali inatoa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo  kuna baadhi ya viongozi wamekuwa wakiandika taarifa za uongo kuwa mradi umekamilika wakati haujajengwa,...

Jibaba lapatikana likifanya mapenzi na 'Bomba la gari' (Video)

Mwanamume mmoja kutoka Brazil amewashangaza wengi baada ya kupatikana aki’fanya mapenzi’ na bomba la moshi la gari. Jamaa huyo anaonekana akiifanya shughuli yake kwa pupa hata baada ya mpiga picha kufika karibu. Hata baada ya mpicha kumfikia, jamaa huyo anaendelea na kazi yake. Kuona video ingia kwenye Link hapa chini: https://web.facebook.com/today.viral.videos/videos/vb.1692784074338489/...

Chadema wajipanga kuandamana nyumbani kwa JPM

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Ziwa kimetangaza kufanya maandamano katika kanda hiyo huku wakidai kuyafungia katika mji wa Chato ambao ni nyumbani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Tamko la Chadema limetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho Kanda ya Ziwa Magharibi, Meshack Micus alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake. “Sisi...

Nafasi 6 za AJIRA Pact Tanzania tuma maombi kabla ya tarehe 5 August2016

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Pact Tanzania is a field office of “Pact” an international non-governmental and non-profit making organization with its headquarters in washington DC. Pact Tanzania exists to build local capacity to enable systematic solutions that allow those who are poor and margainalized to earn a dignified living, be healthy and enjoy the benefit nature provides. For effecient execution...

MREMBO JOKATE MWEGELO ADAIWA KUSHURIKI PATI YA MASHOGA

Tuhuma nzito! Ubuyu ulionyooka mjini unadai kwamba, mwanamitindo the big name Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ anadaiwa kushiriki kwenye pati ya wanaume wanaojihusisha na ngono ya jinsi moja almaarufu mashoga ambayo imeelezwa kuwa hufanyika kwa siri kila Jumamosi moja ya mwezi. Habari hizo zilidai kwamba, shughuli hiyo hufanyika kwa siri kubwa kwenye jumba moja la kifahari lililopo Masaki jijini Dar....

Wafanyabiashara Wawili Wauawa Gesti Dar es Salaam.............huku miili yao ikiwa imeungua moto

Watu wawili wamekutwa wamefariki katika nyumba ya wageni ya Kings Rest House iliyopo Mtaa wa Bumila, Gongo la Mboto jijini Dar  huku miili yao ikiwa imeungua moto. Mmiliki wa gesti hiyo, Damian Mng’ong’o alisema alifuatwa kanisani jana saa 1.30 asubuhi na kuambiwa kuna chumba kimoja katika gesti yake kinafuka moshi na aliondoka kanisani kuelekea ilipo nyumba hiyo. Alisema alipofika aliona...

Mbowe: Mpango wa kuhamia Dodoma ni wa kukurupuka

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe  Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitotekeleza mpango wa kuhamia Dodoma kwani ni wa kukurupuka. Msimamo huo umetolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alipozungumza na gazeti hili wakati wa kutoa heshima za mwisho za aliyekuwa mpigapicha mwandamizi wa gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga ambaye anatarajiwa...

Mo Dewji akabidhi barua yake Simba, kununua hisa asilimia 51

Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji. Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji amesema tayari ameandika barua kwa uongozi wa Simba kueleza kuhusiana na uamuzi wake wa kutaka kununua hisa za Simba kwa asilimia 51. Mo amesema ameandika barua hiyo leo asubuhi baada ya kusikia baadhi ya viongozi wa Simba wakisema hakuwa amefanya hivyo. “Kweli hatukuwa tumeandika barua kwa kuwa nilitaka...
 

Gallery

Popular Posts

About Us