Zimepita siku zaidi ya kumi tangu mwanamuziki wa kitambo PAPA WEMBA kufariki dunia akiwa stejini nchini mjini Abidjan ivory coast.
Alikokuwa amealikwa kutumbuza katika tamasha na hatimaye umauti ukamkuta akiwa anatumbuiza.Baada ya kuwasili mjini kinshasa wiki iliyopita mwili wake ulihifadhiwa na kusubiri hatua za mazishi zifanywe.
Hebu jionee picha ya kaburi ambapo anatarajiwa...
Wednesday, May 04, 2016
Zijue Tabia 7 za Wanawake wanao-Cheat(Kuchepuka)
Published Under
LOVE
Kama mke wako, demu wako au side chick wako ana tabia zifuatazo, amesha-cheat kwako au ipo siku ataku-cheat.
1) Ana boreka haraka –
Wanawake wanaoboreka haraka
nirahisi kutafuta mwanaume mwingine wa kum-entertain, muda...
SHARE!
Serikali imeongea inachoweza kufanya sasa hivi kuhusu ishu ya Bunge kuonyeshwa LIVE.
Published Under
KITAIFA
Hii kauli nimeinasa kwenye siku ya
uhuru wa vyombo vya habari ambapo Waziri wa habari, sanaa utamaduni na
michezo Nape Nnauye alialikwa na kusimama mbele ya Wadau na Wanahabari
na kuyaeleza yafuatay...
SHARE!
Umri sahihi wa mwanamke kubeba mimba na kuwa na mtoto
Published Under
LOVE
MAISHA yalivyo sasa si sawa na yalivyokuwa miongo kadhaa iliyopita.
Wakati huo wanawake waliingia kwenye ndoa katika umri mdogo (mara nyingi
usiozidi miaka 25) na kuchukua jukumu la kuzaa na kulea kama ndilo la
kwanza. Wasichana na wanawake walipenda jukumu la kuwa mama kwenye
familia na walitimiza jukumu hilo kwa utayari.
Katika miaka ya hivi karibuni, wanawake wengi wamejikita...
SHARE!
Video ya SNURA_CHURA YAFUNGIWA KWA KOSA HILI
Published Under
TOP STORIES
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo May 04 2016 imetoa kauli ya kuufungia
wimbo wa Snura ‘chura’ kuchezwa kwenye MEDIA kuanzia leo mpaka Snura
atakapoifanyia marekebisho video ya wimbo huo na kuitoa nyimbo hiyo
kwenye mitandao ya kijamii yote.
Serikali
imeeleza sababu ya kuufungia imetokana na maudhui ya utengenezaji wa
video hiyo, pia serikali...
SHARE!
Rais wa Burundi afariki Dunia leo
Rais wa zamani wa Burundi Kanali Jean-Baptiste
Bagaza amefariki akitibiwa nchini Ubelgiji.
Kanali Bagaza amekuwa akitibiwa kwa muda
katika hospitali ya Sainte Elisabeth mjini Brussels.
"Imethibitishwa, rais wa zamani Jean Baptiste
Bagaza amefariki dunia akiwa nchini Ubelgiji,2
ameandika mshauri wa rais wa Burundi Willy
Nyamitwe kwenye Twitter.
"Alikuwa seneta maisha.”
Kanali Bagaza aliingia...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo Mei 4 2016 kwenye,Habari za Udaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO
Mei 4 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye. mitandao ya kijamii yaani facebok/tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasasa.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)