KINGAZI BLOG: 05/04/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, May 04, 2016

JIONEE PICHA YA KABURI ATAKALOZIKWA PAPA WEMBA HIVI KARIBUNI

  Zimepita siku zaidi ya kumi tangu mwanamuziki wa kitambo PAPA WEMBA kufariki dunia akiwa stejini nchini mjini Abidjan ivory coast.  Alikokuwa amealikwa kutumbuza katika  tamasha na hatimaye umauti ukamkuta akiwa anatumbuiza.Baada ya kuwasili mjini kinshasa wiki iliyopita mwili wake ulihifadhiwa na kusubiri hatua za mazishi zifanywe. Hebu jionee picha ya kaburi ambapo anatarajiwa...

Zijue Tabia 7 za Wanawake wanao-Cheat(Kuchepuka)

Kama mke wako, demu wako au side chick wako ana tabia zifuatazo, amesha-cheat kwako au ipo siku ataku-cheat. 1) Ana boreka haraka –  Wanawake wanaoboreka haraka nirahisi kutafuta mwanaume mwingine wa kum-entertain, muda...

Serikali imeongea inachoweza kufanya sasa hivi kuhusu ishu ya Bunge kuonyeshwa LIVE.

Hii kauli nimeinasa kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari ambapo Waziri wa habari, sanaa utamaduni na michezo Nape Nnauye alialikwa na kusimama mbele ya Wadau na Wanahabari na kuyaeleza yafuatay...

Umri sahihi wa mwanamke kubeba mimba na kuwa na mtoto

MAISHA yalivyo sasa si sawa na yalivyokuwa miongo kadhaa iliyopita. Wakati huo wanawake waliingia kwenye ndoa katika umri mdogo (mara nyingi usiozidi miaka 25) na kuchukua jukumu la kuzaa na kulea kama ndilo la kwanza. Wasichana na wanawake walipenda jukumu la kuwa mama kwenye familia na walitimiza jukumu hilo kwa utayari.  Katika miaka ya hivi karibuni, wanawake wengi wamejikita...

Video ya SNURA_CHURA YAFUNGIWA KWA KOSA HILI

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo May 04 2016 imetoa kauli ya kuufungia wimbo wa Snura ‘chura’ kuchezwa kwenye MEDIA kuanzia leo mpaka Snura atakapoifanyia marekebisho video ya wimbo huo na kuitoa nyimbo hiyo kwenye mitandao ya kijamii yote. Serikali imeeleza sababu ya kuufungia imetokana na maudhui ya utengenezaji wa video hiyo, pia serikali...

Rais wa Burundi afariki Dunia leo

Rais wa zamani wa Burundi Kanali Jean-Baptiste Bagaza amefariki akitibiwa nchini Ubelgiji. Kanali Bagaza amekuwa akitibiwa kwa muda katika hospitali ya Sainte Elisabeth mjini Brussels. "Imethibitishwa, rais wa zamani Jean Baptiste Bagaza amefariki dunia akiwa nchini Ubelgiji,2 ameandika mshauri wa rais wa Burundi Willy Nyamitwe kwenye Twitter. "Alikuwa seneta maisha.” Kanali Bagaza aliingia...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo Mei 4 2016 kwenye,Habari za Udaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

  Mei 4 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye. mitandao ya kijamii  yaani facebok/tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us