KINGAZI BLOG: 04/19/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 19, 2016

CHUKUA DAKIKA TATU ZA KUMTAZAMA KIBOKO YA MASOGANGE NA VERA SIDIKA HII HAPA

...

GIGY MONEY AMTUKANA LIVE LIVE NAY WA MITEGO.

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA BLOG HAPA Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yak...

Mwanamuziki Diamond Platnumz Atangaza Nafasi za Kazi....

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA.BOFYA HAPA Katika hali ya kuendelea kusaidia vijana wenzetu ambao bado wapo mtaani... Ndugu zangu kuna nafasi za kazi hapa @wcb_wasafi ...tunauhitaji wa...

Harmonize 'Sijamtukana DJ K Flip' , Hiki Ndicho Kilichotokea Hadi Kuzima Mziki Katikati ya Show

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA HAPA BOFYA HAPA Msanii wa lebel ya WCB 'Harmonize' amefunguka kuhusu tuhuma za kumtukana Dj K Flip kwenye show mjini Mwanza.Harmonize alisema “Kwanza nategemea sana maDJ kwenye kazi yangu na siwezi fanya kitendo kama hicho, nilikuwa nafanya show na nikawaambia watu kuhusu ujio wa Diamond Mwanza hivi karibuni na kuwataka waimbe na mimi akapela, nikamwambia DJ...

Picha 25: Ilivyokuwa uzinduzi wa daraja la kigamboni Dar es Salaam

April 19 2016 ni siku ya uzinduzi wa Daraja la Kigamboni ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amelizindua rasmi  daraja la Kigamboni na amependekeza liitwe jina la Mwalimu Nyerere na si jina lake kama wengine walivyopendekeza. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio hilo . . . .Ni...

List of Qualified and Disqualified SJUIT Students

   >>TAZAMA HAPA MAJINA YA  QUALIFIED STUDENT NA UNQUALIFIED KUTOKA St.JOSEPH UNIVERSITY<<         ...

KUTANA NA MWANAMKE ALIYEAMUA KUJIOA MWENYEWE BAADA YA KUKOSA MCHUMBA WA KUMUOA.

  YASMIN ELEBY AKIWA NA FURAHA SIKU YA HARUSI YAKE (kulia) AKIKATA KEKI. ,Mwanamke mmoja anayeitwa yasmin Eleby hakubahatika kupata mchumba wa kumuoa ambaye alihitaji kuwa mume wake mpaka alipofikisha umri wa miaka arobaini.ndipo alipoamua kufanya jambo lililowashangaza wengi pale alipoamua kujioa mwenyew...

Breaking News: Rais Magufuli Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe

Rais Magufuli amemsimamisha kazi mchana huu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe kutokana na ufisadi wa kutisha katika utekelezwaji wa mikataba mitatu, inayohusu maeneo ya ukusanyaji mapato ya Stendi Kuu ya Mabasi Yaendayo Mikoani ya Ubungo na kodi ya uegeshaji magari katikati ya mji  na  kuisababishia  serikali  hasara  ya  bilioni ...

PICHA 10: Hadi kufikia March 2016 hivi ndivyo vinatajwa kuwa Viwanja 10 bora vya ndege Duniani

Kwa mwaka wa nne mfululizo uwanja wa Ndege wa Singapore Changi  umekuwa ndio uwanja wa ndege bora zaidi duniani ukishika nafasi ya kwanza na ulichukua tuzo za SkyTrax World Airport Awards 2016 ambapo ulitangazwa huko Gologne Germany, Tuzo za Skytrax zinategemea kura zinazokusanywa kutoka kwa mamillioni ya abiri...

Mwanaume Shoga Aamua Kukiri Redioni Kufanya Biashara Hiyo...Aangua Kilio na Kuelezea A to Z Jinsi Alivyoanza....Ataka Kuacha

. Morogoro: My confession! Katika hali isiyo ya kawaida, kijana Karimu Said (25) almaarufu Anti Karimu aliyekiri kufanya biashara haramu ya kuuza mwili (ushoga), ameangua kilio redioni wakati akiutangazia umma wa Watanzania kuachana na dhambi hiyo aliyodumu nayo kwa miaka saba. Ilikuwa Alhamisi iliyopita, Karimu alitinga kwenye Kipindi cha Mcharuko wa Pwani cha Radio Planet FM kinachoendeshwa na...

OMMY DIMPOZ AJIKITA KWENYE KILIMO BAADA YA GAME KUWA NGUMU.

DOWNLOAD APPLICATION YA TANZANIAMPYASASA HAPA  Zamani ilijulikana kama kilimo ni shughuli ya watu wa hali ya chini au watu maalumu tu. Hii imekuwa tofauti kwa mwanamuziki Ommy dimpoz ambaye kwa sasa ameamua kujikita katika kilimo cha mazao mbalimbali, hii ilidhihirishwa juzi baadfa ya kupiga picha akiwa kwenye shamba l;ake huku akiweka Emoji za za matunda kwenye picha hizo alizozituma kwenye...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 19 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

DOWNLOAD APPLICATION YA TANZANIAMPYASASA HAPA April 19 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa....

Rais Magufuli Azua Taaruki Jijini Leo..Aenda Bank ya CRDB na Gari Binafsi Bila Msafara...

... RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezua taharuki mjini leo baada ya kufika katika Tawi la CRDB (Holland Branch), akiwa kwenye gari binafsi lenye namba T 182 DFQ huku likiwa halina nembo ya adamu na hawa wala bendera. Tukio hilo lililochukuwa takribani dakika 25, limetokea majira ya saa nne asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam katika tawi la benki hiyo ambalo...

Official VIDEO | Salamu TMK - Mfuko

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA HAPA   ...

Official VIDEO | Emanuel Austin Ft. Ben Pol - BOGE

ANGALIA VIDEO HA...

New AUDIO | Bright Feat. Barakah Da Prince - Nitunzie | Download

...

New AUDIO | Eddoh Mzawa Ft. MESEN SELEKTA - Jibebe | Download

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us