KINGAZI BLOG: 05/19/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 19, 2016

WAREMBO WANAOWANIA U 'Miss' WAANZA KUIUIFUA ARUSHA.

WALIMBWENDE JIJI LA ARUSHA WAAHIDI KUTOACHIA TAJI LA MISS TANZANIA 2016 Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la kumsaka mlibwende wa mkoa wa Arusha wakiwa katika pozi warembo hao wakiwa wanacheza hii ikiwa ni moja ya mazoezi yao wanayoyafanya ndani ya ukumbi wa hoteli Naura Spring Arusha ambapo wameweka kambi Kusimamishwa kwa shindano la umrembo Tanzania (Miss Tanzania ) kwa mwaka mmoja imekuwa...

MATUKIO YALIOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali kutoka kwa Kiongozi wa upinzani bungeni  Freeman Mbowe , mjini Dodoma Mei 19, 2016. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo akiwasilisha Makadirio ya Matumizi ya wizara hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana...

Hollande: Ndege ya Misri ilianguka

 Ndege hiyo ilipaa kutoka uwanja wa Charles de Gaulle, Paris Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema habari zilizopatikana kufikia sasa zinaashiria ndege ya shirika la ndege la EgyptAir iliyotoweka ikiwa safarini kutoka Paris kwenda Cairo ilianguka. Hata hivyo amesema bado ni mapema kusema kwa ufasaha kabisa nini kiliisibu ndege hiyo safari nambari MS804, na kwamba bado kuna uwezekano kwamba...

Hiki ndicho kilichomkuta Msanii Malaika

Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Malaika Exavery STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Malaika Exavery hivi karibuni yalimkuta makubwa baada ya gari lake (Toyota Harrier Lexus) kunasa kwenye tope maeneo ya Kigamboni, Dar na kushindwa kutoka kwa muda na kusababisha umati umzunguke. Akizungumza na Tzmpya blog Malaika anayetamba na Wimbo wa Raruararua alisema siku hiyo alikuwa akitoka kurekodi Kigamboni...

Sakata la Lugumi: CHADEMA Yajipanga Kumng'oa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema uzito wa Rais John Magufuli kumwajibisha Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kutokana na kutajwa kuhusika na Kampuni ya Lugumi inayodaiwa kulitapeli Jeshi la Polisi, utasababisha waanze harakati za kumng’oa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu aliwaambia waandishi...

Edward Lowassa na Fredrick Sumaye Watajwa Katika Sakata la Uuzwaji wa Nyumba za Serikali.......Mbowe Atoa Ufafanuzi

Uuzwaji wa nyumba za serikali umegeuka mwiba huku wabunge wakiendelea kuhoji hatua zilizochukuliwa kutokana na kadhia hiyo Hatua hiyo iliyotekelezwa mwaka 2002  hadi 2004 ilizusha malalamiko mengi tangu wakati huo na sasa imeibuka tena bungeni Akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano jana, mbunge wa Nachingwea, Hassani Masala (CCM) alihoji mfumo uliotumika...

NDEGE YA MISRI YATOWEKA IKIWA NJIANI IKIWA NA ABIRIA 69 

EgyptAir flight MS804 heading from Paris to Cairo has gone missing. There were 66 people on board the A320 that vanished 20 minutes before it was set to land (model of plane that went down is pictured) EgyptAir flight MS804 heading from Paris to Cairo has disappeared from radar with 63 people on board. The Airbus A320 left the French capital's Charles De Gaulle Airport at 11:09pm local time on...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo alhamis tar 19 Mei kwenye habari za kitaifa kimataifa udaku na michezo.

Naanza kwa kukuletea kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo.usisahau kukaa  karibu nasi kwenye mitandao ya kijamii yaani twitter@tanzaniampyasasa facebook/tanzaniampyasasa blog. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us