Wakati mama yake, Flora Mtegoa (pichani), baadhi ya wasanii na mashabiki wake wakikumbuka miaka minne ya kifo cha aliyekuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo, Steven Charles Kanumba ‘The Great’, kumezuka sintofahamu ya kukutwa ujumbe mzito wa kimapenzi kaburini kwa msanii huyo ambao...
Friday, April 08, 2016
Yanga kutesa nyasi na Al Ahly jijini Dar
Published Under
MICHEZO
Yanga watakutana na Al Ahly uwanja wa taifa Dar es Salaam
Klabu ya Young
Africans itashuka dimbani kesho Jumamosi kucheza dhidi ya miamba wa
Misri Al Ahly hatua ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika
(CAF C...
SHARE!
Papa Francis kutoa tamko muhimu kuhusu ndoa
Published Under
KIMATAIFA
Image copyrightAFPImage captionPapa Francis amekuwa akitofautiana na wahafidhina kanisa Katoliki
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo anatarajiwa kutangaza wazi msimamo wake kuhusu ndoa, njia za kupanga uzazi na malezi ya watoto.
Tangazo hilo linatarajiwa kuwa kwenye ripoti ya mikutano miwili mikuu ya kutoa maamuzi kuhusu sera za kanisa hilo, maarufu kama sinodi...
SHARE!
Binti mlemavu afungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 16,Aeleza mazito.!
Published Under
MATUKIO

BINTI MWENYE ULEMAVU AFUNGIWA NDANI MIAKA 16
Vitendo vya kuwafungia ndani watoto wenye ulemavu limeendelea kushamiri
kwenye maeneo mengi nchini tukio la sasa likitokea katika kijiji cha
njani wilayani Arumeru ambapo mtoto wa kike mweye ulemavu wa viungo
amebainika kufungiwa ndani kwa kipindi cha umri wake wote wa miaka kumi
na sita.
Mtoto huyo Wine Ruth anayelelewa na bibi...
SHARE!
Lowassa amponda Rais Magufuli.....Afunguka mambo matano mazito muhimu
Published Under
KITAIFA

Siku 155 baada ya Dk John Magufuli
kuapishwa kuwa Rais, aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema
katika uchaguzi huo, Edward Lowassa ametaja mambo matano yanayomfanya
autilie shaka mustakabali wa Taifa chini ya uongozi wa Rais huyo wa
Awamu ya Tano....
SHARE!
MSANII MAARUFU AFARIKI AKIIMBA JUKWAANI
Published Under
TOP STORIES
Huzuni
na mshangao umeghubika Indonesia baada ya muimbaji maarufu Irma Bule,
aliyekuwa akiwatumbuiza mashabiki wake kuanguka na kufariki dunia
jukwaan...
SHARE!
Maandazi yamwokoa kifo cha kifusi
Published Under
KITAIFA
Nyumba
za wakazi wa eneo la Mji Mpya, Mtaa wa Ukwamani, Kawe, Dar es Salaam
jirani na kulipotokea maafa ya watu watano kufukiwa na kifusi zikiwa
hatarini pia kufukiwa na kifusi cha mwamba huu (kulia) ambao tayari
umeshaanza kuweka ufa, jana...
SHARE!
Bajeti ya Tanzania ya mwaka 2016/17 kuanza kuchambuliwa leo
Published Under
KITAIFA
Mkuu wa Kitengo cha Habari,Elimu na Mawasilianocha Bunge, OwenMwandumbya
KAMATI za Kudumu za Kisekta leo zinatarajia kuanza kuchambua taarifa
za utekelezaji wa Bajeti za Wizara zinazosimamiwa na kamati hizo.
Hatua hiyo inafanywa kwa mujibu wa Kanuni ya 98 (2) ya Kanuni za Kudumu...
SHARE!
Magazeti ya tanzania yaalichoandika leo ijumaa ya April 8 kwenye habariza kitaifa,kimataifa,udaku na michez
Published Under
MAGAZETINI LEO
April 8 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog, pia kwenye twitter
@tanzaniampysas...
SHARE!
PICHA 3: Rais Magufuli na Rais Kagame Kigali leo kwenye kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari
Published Under
HABARI KATIKA PICHA
Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania yupo nchini Rwanda kwenye ziara ambayo ameianza April 6 2016 na pamoja na mazungumzo na mwenyeji wake Rais Paul Kagame, Dr. Magufuli ameshiriki katika kumbukumbu ya Wanyarwanda wote waliofariki kwenye mauaji ya Kimbar...
SHARE!
Iyanya - Type Of Woman [Official Video]
Published Under
NEW VIDEO

>>>>WATCH VIDEO HERE<<<<<<
;"...
SHARE!
TANZIA:MBUNGE WA CHADEMA AFARIKI DUNIA
Published Under
TANZANIA
Christina Mughwai Lissu enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Singida, Christina
Mughwai Lissu (CHADEMA) amefariki dunia leo kwa ugonjwa wa kansa.
Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es Salaa...
SHARE!
Hiki ndicho alichokiandika Lulu miaka 4 ya kifo cha Kanumba
Published Under
TOP STORIES
Lulu Elizabeth Michae...
SHARE!
Rais Magufuli kaeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi -
Published Under
KITAIFA
Tunajua Rais Magufuli amekuwepo nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 mpaka April 7
jioni aliporudi Tanzania, kwenye moja ya maongezi yake mbele ya
Wananchi wa Rwanda ameongea pia kuhusu kwanini hapendi kusafiri nje ya
nchi na toka achaguliwe October 2015,...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)