UONGOZI WA BLOG HII UNAPENDA KUMTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA BW. TITO EMMANUEL (Pichani) AMBAYE NI MDAU MKUBWA NA PIA NI MMILIKI WA BLOG HII YA TANZANIAMPYASASA.ASANTENI KWA KUENDELEA KUWA NASI....
1. CORE JOB DESCRIPTION
Reporting to the Head of Department - Planning and Reporting:
M-Commerce, this position is responsible for all data mining and
analysis of M-Commerce products, including but not limited to reporting
on M-Commerce operational performance, marketing initiatives analysis,
key performance areas, Agents activities and various other areas as
required by the division....
Ni ukumbi wa ndani kwa ndani maarufu mno jijini New York, Marekani
nyumbani kwa wasanii wakubwa wakiwemo Jay Z, Beyonce, Justin Bieber,
Rihanna, Drake, taja kila msanii mkubwa wa Marekani, amewahi kutumbuiza
hapo.
Na sasa Diamond, Wizkid na Flavour, watakuwa wasanii wa kwanza
wanaofanyia muziki Afrika kuwahi kutumbuiza kwenye ukumbi huo. Mastaa
hao watatumbuiza kwenye tamasha...
Wakazi wa Kijiji cha Nala na vitongoji vyake juzi walimpelekea maji machafu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde wakimtaka ayanywe kwa kuwa ndiyo wanayotumia.
Mavunde alikutana na mkasa huo muda mfupi alipoingia kwenye kijiji hicho umbali wa kilomita tisa nyakati za jioni, ambako wakazi wa eneo hilo walikuwa wakimsubiri tangu asubuhi.
Mama mmoja...
Mei 9 naanza kwa kukuletea habari mbalimbali zilizoandikwa kwenye magazeti ya tanzania leo. Usisahau kukaa karibu nasi kwenye mitandao ya kijamii yaani faceboo/tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasasa.
...