KINGAZI BLOG: 05/09/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, May 09, 2016

LEO NI SIKU YA KUZALIWA YA MDAU MKUBWA NA MMILIKI WA BLOG HII BW.TITO EMMANUEL (PICHANI).

UONGOZI WA BLOG HII UNAPENDA KUMTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA  BW. TITO EMMANUEL (Pichani) AMBAYE NI MDAU MKUBWA  NA PIA NI MMILIKI WA BLOG HII YA TANZANIAMPYASASA.ASANTENI KWA KUENDELEA KUWA NASI....

AJIRA!!! AJIRA!!!! AJIRA!!! NAFASI ZA KAZI KAMPUNI SIMU YA VODACOM- Application Deadline 11 May 2016

1. CORE JOB DESCRIPTION Reporting to the Head of Department - Planning and Reporting: M-Commerce, this position is responsible for all data mining and analysis of M-Commerce products, including but not limited to reporting on M-Commerce operational performance, marketing initiatives analysis, key performance areas, Agents activities and various other areas as required by the division....

Diamond, Wizkid, Flavour Kutumbuiza Barclays Center, New York, July 22

Ni ukumbi wa ndani kwa ndani maarufu mno jijini New York, Marekani nyumbani kwa wasanii wakubwa wakiwemo Jay Z, Beyonce, Justin Bieber, Rihanna, Drake, taja kila msanii mkubwa wa Marekani, amewahi kutumbuiza hapo. Na sasa Diamond, Wizkid na Flavour, watakuwa wasanii wa kwanza wanaofanyia muziki Afrika kuwahi kutumbuiza kwenye ukumbi huo. Mastaa hao watatumbuiza kwenye tamasha...

WAZIRI APEWA MAJI MACHAFU ANYWE.

Wakazi wa Kijiji cha Nala na vitongoji vyake juzi walimpelekea maji machafu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde wakimtaka ayanywe kwa kuwa ndiyo wanayotumia. Mavunde alikutana na mkasa huo muda mfupi alipoingia kwenye kijiji hicho umbali wa kilomita tisa nyakati za jioni, ambako wakazi wa eneo hilo walikuwa wakimsubiri tangu asubuhi. Mama mmoja...

Magazeti ya tanzania yaloandika leo tar. 9. 5. 2016 kwenye habari za kitaifa, kimataifa, udaku, michezo na stori nyingine kali

Mei 9 naanza kwa kukuletea habari mbalimbali zilizoandikwa kwenye magazeti ya tanzania leo. Usisahau kukaa karibu nasi kwenye mitandao ya kijamii yaani faceboo/tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasasa.  ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us