Mahakama
ya Hakimu mkazi Arusha imempa dhamana Mtuhumiwa Isaac Abakuki
anayetuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kupitia kwenye ukurasa wake
kwenye mtandao wa kijamii wa Faceboo...
Monday, April 18, 2016
PICHA 10;Huyu hapa Mtoto mwingine wa Zari anayefanana na Diamond,jionee mwenyewe hapa
Published Under
TOP STORIES

...
SHARE!
Mbio za Mwenge Zazinduliwa rasmi Mkoani Morogoro
MOROGORO
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo
atawasha Mwenge wa Uhuru na kuzindua rasmi mbio zake ili kukimbizwa
katika halmashauri za wilaya na Manispaa zipatazo 179 za mikoa ya
Tanzania Bara na Visiwani.
Uzinduzi huo utakaofanyika kwenye
Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambao utatanguliwa na shamrashamra za
halaiki kutoka kwa vijana zaidi ya 1,000 na vikundi vya utamaduni...
SHARE!
Huyu Ndiye Mrithi wa Paul Makonda Wilaya ya Kinondoni
Published Under
KITAIFA

Rais wa Tanzania Dkt.John Magufuli amemteua ndugu Ally Salum Hapi kuwa mkuu mpya wa wilaya ya kinondoni ili kuziba nafasi nafasi iliyoachwa wazi na ndugu Paul Makonda aliyeteuliwa Mapema mwaka huu kuwa Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam...
SHARE!
PICHA 14: Mabasi mapya ya haraka Dar es salaam kwenye majaribio April 18, 2016
Published Under
KITAIFA
April 18, 2016 Mabasi
ya abiria yaendayo haraka yalifanyiwa majaribio ikiripotiwa ni
kujiandaa na kuanza kazi rasmi ya kubeba abiria na kushusha kwenye vituo
mbalimbali vya barabara zake maalum zilizokamilika.
.
.
.
.
.
.
Camera za ndani ya mabasi haya mapya kwa ajili ya usalama
.
.
.
.
.
.
...
SHARE!
PICHA:Makamu Wa Rais Mhe. Samia Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mkoani Morogoro Le
Published Under
KITAIFA

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro le...
SHARE!
Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Siku ya Leo
Published Under
AJIRA

Nafasi za Kazi PTA Bank, Application Deadline 29 April 2016
Nafasi za Kazi Save the Children Tanzania, Application Deadline 28 April 2016
Nafasi za Kazi Mohammed Enterprises Tanzania limited (METL).....
SHARE!
Magazeti ya tanzania yalichoandika leo jumatatuya tarehe 18 april
Published Under
MAGAZETINI LEO

A
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)