KINGAZI BLOG: 04/18/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, April 18, 2016

Aliyemtukana Rais Magufuli kwenye Facebook Apata dhamana

Mahakama ya Hakimu mkazi Arusha imempa dhamana Mtuhumiwa Isaac Abakuki anayetuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kupitia kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa kijamii wa Faceboo...

PICHA 10;Huyu hapa Mtoto mwingine wa Zari anayefanana na Diamond,jionee mwenyewe hapa

...

Mbio za Mwenge Zazinduliwa rasmi Mkoani Morogoro

MOROGORO MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo atawasha Mwenge wa Uhuru na kuzindua rasmi mbio zake ili kukimbizwa katika halmashauri za wilaya na Manispaa zipatazo 179 za mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani. Uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambao utatanguliwa na shamrashamra za halaiki kutoka kwa vijana zaidi ya 1,000 na vikundi vya utamaduni...

Huyu Ndiye Mrithi wa Paul Makonda Wilaya ya Kinondoni

Rais wa Tanzania Dkt.John Magufuli amemteua ndugu Ally Salum Hapi kuwa mkuu mpya wa wilaya ya kinondoni ili kuziba nafasi nafasi iliyoachwa wazi na ndugu Paul Makonda aliyeteuliwa Mapema mwaka huu kuwa Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam...

PICHA 14: Mabasi mapya ya haraka Dar es salaam kwenye majaribio April 18, 2016

April 18, 2016 Mabasi ya abiria yaendayo haraka yalifanyiwa majaribio ikiripotiwa ni kujiandaa na kuanza kazi rasmi ya kubeba abiria na kushusha kwenye vituo mbalimbali vya barabara zake maalum zilizokamilika. . . . . . . Camera za ndani ya mabasi haya mapya kwa ajili ya usalama . . . . . . ...

PICHA:Makamu Wa Rais Mhe. Samia Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mkoani Morogoro Le

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro le...

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Siku ya Leo

Nafasi za Kazi PTA Bank, Application Deadline 29 April 2016 Nafasi za Kazi Save the Children Tanzania, Application Deadline 28 April 2016 Nafasi za Kazi Mohammed Enterprises Tanzania limited (METL).....

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo jumatatuya tarehe 18 april

A ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us