Trump alishambulia sana sera ya kigeni ya Obama
Mgombea urais wa
chama cha Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya
kuonekana akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw
Trump alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika
mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa
kuzungumzia...
Friday, April 29, 2016
Rais Magufuli Awasili Mkoani Dodoma Kwa Usafiri wa Gari.
Published Under
KITAIFA

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es
Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga mara
baada ya kuwasili katika Ikulu ya Chamwino...
SHARE!
Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC
Published Under
TOP STORIES

Hapa kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ Wakiwa katika uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC.
Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa medani na MONUSCO Kwa umahili wake.
==>Habari hii,picha pamoja na video ni kwa hisani ya mwandishi na correspondent wa ITV anayeripoti toka Congo ndg. Eshongulu Eshongulu Eshongulu
...
SHARE!
Kumbe TID alishawahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu
Published Under
TOP STORIES
Msanii mkongwe wa muziki, TID amesema kipindi cha nyuma
alikuwa anatoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu lakini baadae
alitemwa hali ambayo ilimuumiza sana.
Akizungumza katika kipindi cha Clouds TV Ijumaa hii, TID amesema hali hiyo ilimfanya atoke na wasichana wengi.
“Nilikuwa ‘namdate’ Wema Sepetu akaniambia sikutaaki, tangu kipindi
hicho nimekuwa na wasichana...
SHARE!
Naibu Spika Achafua Hali ya Hewa Bungeni Baada ya Kumwita Mbunge BWEGE
Published Under
BUNGE

Naibu Spika Tulia Ackson, ambaye katika vikao vya Bunge anatakiwa
kusimamia mijadala kwenye chombo hicho cha kutunga sheria, jana alizua
kizaazaa baada ya kumuelezea mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Selemani Said
Bungara kuwa ni bwege, akimtaka aache kuonyesha hali hiyo.
Kwa mujibu wa toleo la pili la Kamusi ya Kiswahili Sanifu (Oxford) la
mwaka 2004, neno bwege linamaanisha “mtu mjinga, mpumbavu,...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 29 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

April 29 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye kurasa...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)