KINGAZI BLOG: 03/22/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, March 22, 2016

New AUDIO | Hamadai - MARIOO | Download

...

New Video: Wande Coal – Superwoman

Star wa music kutoka nigeria Wande Coal ameachia video yake mpya ya wimbo wake wa – Superwoman....

Tiwa Savage’s New Single “Bad” featuring Wizkid

  Mkali kutoka nigeria,Tiwa Savage ameachia single yake mpya aliyoipa jina la RED akimshirikisha mkali mwenzie wa nigerian music WizKid, Tiwa savage amesema ameamua kuipa single yake mpya hiyo jina la RED akimaanisha...

(OFFICIAL VIDEO) Flavour teams up with Kenyan Singer Akothee for her New Single “Give It To Me” | Watch

Kenyan singer Akothee is out with a new song called “Give It To Me” featuring Nigerian superstar Flavour. The song was produced by Nigerian hitmaker Masterktaft and the video was shot in South Africa by Godfather Production...

( video/audio)Izzo Bussiness,Barnaba ft Shaa.-usijiovadose

Rapper kutokea Mbeya City, Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness time hii ametusogezea hii single mpya iitwayo  Usijiovadoze ambayo amewashirikisha Barnaba na Shaa. >>>BONYEZA HAPA KUIONA VIDEO>>> ...

video!!Harmonize hatayasahau haya south africa

Harmonize ni msanii wa kwanza kusainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz (WCB) amba...

Jay Dee azindua wimbo wake kwa kishindo Dar

Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee akiwa katika pozi...

HAYA HAPA MAGAZETI YA TZ LEO JUMANNE,MACHI 22,2016- YAPO YA UDAKU,HARD NEWS NA MICHEZO

...

MKUU WA WILAYA YA NJOMBE AFARIKI BAADA YA KUUGUA GHAFLA

Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba amefariki dunia jana jioni ya baada ya kuugua ghafla Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi amethibitisha kutokea kwa msiba huo, na kueleza kuwa marehemu Sarah alifariki majira ya saa moja jioni katika hospitali ya Kibena mjini Njombe ambapo alipelekwa kwa ajili ya uangalizi wa kiafya. Dkt Nchimbi amesema kuwa, haijafahamika nini...

Picha !! RAIS MAGUFULI ATII AGIZO LA MKUU WA MKOA WA DAR KUHAKIKI SILAHA,ASEMA NI AIBU ASKARI POLISI KUNYANG'ANYWA SILAHA NA JAMBAZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa mtu kwanza kutekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam la kuhakiki silaha, ambapo bunduki zake mbili aina ya Shortgun na Pistol zimehakikiwa nyumbani kwake Ikulu Jijini Dar es salaa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us