KINGAZI BLOG: 04/24/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, April 24, 2016

Historia ya mwanamuziki Papa Wemba

  Habari kuwa mmoja wa vigogo wa muziki wa kiafrika Papa Wemba ametutangulia mbele ya haki imepokewa kwa mshtuko mkubwa na mashabiki wake kote duniani. Video inayosambazwa katika mitandao ya kijamii inamuonesha Papa Wemba akiendelea na kazi yake anayoifahamu zaidi ya uimbaji kisha anaonekana akianguka ghafla jukwaani. Jules Shungu Wembadio Pene...

Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

  Papa Wemba ameaga dunia Nyota wa muziki wa Soukous ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo- Papa Wemba amefariki dunia Papa Wemba ambaye jina lake halisi ni...

Maaajabu!!!!!! Bibi kizee wa miaka 65 kajifungua mapacha wa nne (4) hivi karibuni.

  Katika hali ya kushangaza dunia na watu kupigwa butwaa,bibi kizee wa miaka ya 65 kutoka Berlin nchini ujerumani ambaye kwa sasa ana watoto 13 kwa baba  watano tofauti,ametanga...

JIPU la Watumishi Hewa Iringa Lavuja Usaha...Idadi Yaongezeka Nje Ya Ile Aliyopewa Rais Magufuli

Hadi kufikia tarehe 18/04/2016 Mkoa wa Iringa umefanya zoezi la uhakiki wa watumishi kwa awamu mbili awamu ya kwanza, uhakiki ulifanyika kuanzia tarehe 16/03/2016 na kukamilika tarehe 26/03/2016 ambapo jumla ya watumishi 15walibainika kuwa ni watumishi hewa katika Mkoa wa Iringa ambao waliisababishia Serikali hasara ya Shilingi 81,921,725....

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 24 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

  April 24 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us