TARATIBU MPENZI,,,Sehemu ya kwanza,,,ni utamu tuu kwenda mbelee,,,
Chombezo;Taratibu mpenzi
Mtunzi;Geofrey Malwa
Phone no;0712507115
Sehemu ya 1
Ilikuwa ni tafrija ya Suzan mtoto pekee wa Bwana George
Suleman aliyehitimu masomo yake ya shashada ya Sheria,hivyo wakiwa kama
familia yeye na mkewe waliamua kumfanyia tafrija ndogo hapo nyumbani
kwao,ili kupendezesha Tafrija hiyo Bwana George Suleman aliwaalika ndugu
na jamaa zake wa karibu ambao kwa heshima na taadhima walihudhuria wote
bila kuko...
Wednesday, March 16, 2016
NAFASI ZA KAZI SERIKALINI
Published Under
AJIRA

The United Republic of Tanzania is conducting recruitment of civil servants through Public Service Recruitment Secretariat, &nbs...
SHARE!
Kizaazaa cha Bundesliga kuendelea wikendi hii
Published Under
MICHEZO
Bayern Munich hawajashinda katika mechi zake mbili za mwisho na
mshambulaiji Thomas Mueller anasema hawastahili tena kupoteza pointi
nyingine zaidi za Bundesliga wakati wakipambana leo na Werder Bremen
Uongozi wa Bayern kileleni mwa msimamo wa ligi umepunguzwa hadi pointi
tano baada ya...
SHARE!
Wakenya walalamikia kuongezeka kwa ufisadi
Published Under
KIMATAIFA
Utafiti Uliofanywa na taasisi ya serikali ya kupambana na rushwa Kenya
inaonyesha kuwa nusu ya raia nchini humo wanaamini kuna ongezeko la
matukio ya rushwa katika kipindi cha utawala wa rais Uhuru Kenyatta
Kulingana na taarifa hiyo, iliyotolewa na tume ya maadili na kupambana
na rushwa, asilimia 74 ya idadi ya raia nchini humo , wanaamini kuwa
rushwa imeongezeka katika utawala wa sasa...
SHARE!
Picha ya utupu wa Kim Kardashian yafutwa Australia
Published Under
STORI KALI
Kanye West na mkewe Kim Kardashian
Picha iliochorwa ya
utupu wa Kim Kardashian imefutwa siku chache tu baada kuchorwa na
msanii mmoja mjini Melbourne nchini Australi...
SHARE!
Usingizi wamponza mchezaji Ujerumani
Published Under
MICHEZO
Bendtner ametozwa faini ya euro 50 kwa kila dakika aliyochelewa
Mshambuliaji wa Wolfsburg Nicklas Bendtner amepigwa faini baada ya kuchelewa kufika mazoezini kwa sababu ya usingizi.
Bendtner,
ambaye aliwahi kuichezea...
SHARE!
Trump asema huenda fujo zikazuka Marekani
Published Under
KIMATAIFA
Trump ameshindwa katika mchujo jimbo la Ohio
Mfanyabiashara
tajiri Marekani Donald Trump, amesema anafikiri kutatokea fujo iwapo
ataongoza kwa wajumbe kisha chama chake cha Republican kitakosa
kumuidhinisha awanie...
SHARE!
BEN POL FT G-NACKO & VJ ADAMS - NITAFANYAJE(NINGEFANYAJE RMX)(AUDIO)
Published Under
AUDIO

...
SHARE!
Lulu azuiwa kuingia Ikulu
Published Under
STORI KALI
Staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
DAR ES SALAAM: Imefichuka! Baada ya kuitwa na Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa kwa ajili ya kupongezwa kutokana na tuzo aliyopata nchini
Nigeria, staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alijikuta akihaha
baada ya kuzuiwa kuingia Ikulu kutokana na kutokuwa na kitambulisho cha
chama cha waigizaj...
SHARE!
Tatizo la nguvu za kiume, maana yake na tiba – 4
Published Under
HEALTH
ulevi kupita kiasi wa pombe, madawa ya kulevya husababisha
mwanaume kupoteza nguvu za kiume. Msomaji ningependa kukujulisha kuwa
tafiti zinaonesha unywaji pombe unaathari nyingi...
SHARE!
Zijue faida za tikitimaji mwilini
Published Under
HEALTH
TIKITImaji ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa wingi nchini ni
tunda lenye virutubisho vingi vyenye faida kubwa katika mwili wa
binadamu japokuwa asilimia 92 ya tikitimaji huwa ni...
SHARE!
Maajabu ya Dunia: Mbwa Mwenye Pua Mbili Mcheki Hapa
Published Under
MAAJABU
Pua mbili za mbwa mwenye jina la Toby kama anavyooneakana.
HAYA tunaweza kusema ni maajabu ya dunia, kwa uharisia ni mara chache
sana kuona mnyama...
SHARE!
Maagizo sita ya Magufuli
Published Under
KITAIFA
div data-share-desc="
div data-share-desc="
...
SHARE!
Miezi mitatu kabla simu bandia kuzimwa, wateja wahaha kuzibadili
Published Under
KITAIFA
DESEMBA 18, mwaka jana Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)
ilitangaza kuzifunga simu zote zitakazobainika kuwa bandia baada ya
miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu, yaani Januari Hadi Juni...
SHARE!
Siri ya Maalim Seif kuishi hotelini Dar hii hapa.
Published Under
KITAIFA
Dar es Salaam
SIRI imefichuka kuhusu hatua ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali
ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar (SUK), Maalim Seif Sharif Hamad, kuishi
hotelini jijini Dar es Salaam...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 16 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
Published Under
MAGAZETINI LEO
March 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori
zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,
Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook, @tanzaniampya news blog.na twitter@TZmpyasas...
SHARE!
Magazeti ya tanzania yalichoandika leo tarehe 16 march katika habari kuu na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
SIMULIZI FUPI: NILIKUWA NA MPENZI
Published Under
HADITHI
SIMULIZI FUPI: NILIKUWA NA MPENZI
MTUNZI: George Iron Mosenya SIMU: 0655
727325;
Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu
alikuwa mrembo hasw...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)