s
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hundi Kifani yenye thamani ya Shilingi Bilioni Sita kutoka kwa
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson mara baada ya Taasisi ya Bunge kutekeleza
kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio na Tija ili fedha hizo
zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi...
Monday, April 11, 2016
RAIS DK. MAGUFULI AAGIZA BILIONI 6 KUTOKA BUNGE ZIKABIDHIWE KWA MAGEREZA NA JKT ILI KUTENGENEZA MADAWATI 120.000
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Lady Jaydee akutana na Ray C, amwandikia ujumbe huu
Published Under
STORI KALI
Msanii wa muziki, Lady Jaydee amekutana na Ray C hivi karibuni na kumshauri mambo kadhaa kuhusu afya yake.
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo wake wa Ndindindi,
ameonyesha kutoridhika na afya ya Ray C na kuamua kumwandikia ujumbe wa
kumpa matuamain...
SHARE!
VIDEO;Hiki ndicho Anaichokifanya Diamond platnumz kwenye show yake
Published Under
VIDEO
Miongoni mwa vitu vinavyoendelea kumpa umaarufu msanii diamond platinumz ni uwezo wake wa kulitawala jukwaa ...
SHARE!
Mwanahabari wa al-Shabab auawa Somalia
Published Under
KIMATAIFA
Hanafi alikuwa afisa wa habari wa kundi la al-Shabab
Mwanahabari aliyesaidia kundi la al-Shabaab kuua wanahabari wenzake nchini Somalia ameuawa.
Hassan Hanafi ameuawa kwa kupigwa risasi mapema asubuhi baada ya kuhukumiwa kifo ...
SHARE!
Breaking News!! Rais Magufuli Aamfuta kazi Anne Kilango Malecela na Katibu Tawala Wake mkoani Shinyanga.
Published Under
KITAIFA
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Anne Kilango Malecela na Katibu Tawala wa Mkoa
huo Abdul Rashid Dachi, kufuatia mkoa huo kutoa taarifa zisizo sahihi
kuw...
SHARE!
Wabunge Wahoji Uhalali wa Kisheria wa Rais Magufuli kuhamisha fedha za Muungano na Kuzipeleka Kwenye Ujenzi wa Barabara Mwanza
Published Under
KITAIFA

Baadhi ya Wabunge wamehoji uhalali wa kisheria wa Rais John Magufuli
kuhamisha fedha zilizotengwa kwa ajili ya sherehe ya Muungano na
kuzipeleka kwenye ujenzi wa barabara katika Uwanja wa Ndege wa Mwanz...
SHARE!
Seif ajisafisha kwa wana CUF
Published Under
ZANZIBAR
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hammad.
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema
uamuzi wa chama chake kususia uchaguzi wa marudio uliafikiwa na Baraza
Kuu la Uongozi na hauna uhusiano na taarifa kwamba...
SHARE!
SHARE! Magazeti ya tanzania yaalichoandika leo Jumatatu ya tar 11 april kwenye habariza kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO
April 11 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
kari...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)