KINGAZI BLOG: 07/14/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, July 14, 2016

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Yasitisha Mikopo Kwa Wanafunzi 2,739 wa vyuo mbalimbali nchini.

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesitisha kwa muda mikopo kwa wanafunzi 2,739 walioshindwa kujitokeza wakati wa kuhakiki wanufaika wa mikopo hiyo.  Aidha, imetoa siku saba kuanzia jana kwa wanafunzi ambao hawakuhakikiwa kwenda kuhakiki katika vyuo vyao, vinginevyo mikopo yao itafutwa na kutakiwa kurejesha kiasi walichokopeshwa na kuchukuliwa hatua za kinidhamu.  Akizungumza...

Mbunge Auawa kwa kupigwa Risasi na Watu wasiojulikana.

 MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutoka nchini Burundi, Hafsa Mossi, ameuawa na watu wasiojulikana kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Bujumbura. Mossi aliyewahi kuwa Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki katika serikali ya nchi hiyo, aliuawa jana katika barabara ya Gihosha eneo la Nyankoni. Taarifa zilizothibitishwa na Msemaji wa Polisi wa nchi hiyo, Pierre Nkurikiye...

Keisha kuhitimu shahada ya ununuzi na ugavi Disemba katika chuo cha CBE

 Mwanamuziki Keisha baada ya kubanwa na masomo kwa muda mrefu hali ambayo ilimfanya apate muda mchache wa kufanya muziki, hatimaye anatarajia kumaliza masomo yake mwezi Disemba mwaka huu. Muimbaji huyo mapema mwaka jana aliambia Bongo5 kuwa yupo mwaka wa pili katika chuo cha CBE na anachukuwa shahada ya ununuzi na ugavi (Bachelor Degree in Procurement and Supplies Management). Keisha ambaye...

Unyonyaji kidole unafaida kwa watoto- Utafiti

Image copyrightTHINKSTOCKImage captionUnyonyaji kidole unafaida kwa watoto- Utafiti Ripoti mpya inasema watoto wanaonyonya vidole au kung'ata kucha zao kwa meno huenda wasipate matatizo ya kuathirika kutokana na mazingira hewa au kula vyakula fulani. Kwa mujibu wa waandishi katika jarida la Pediatrics, huo ni ni usafi dhanio,kwani yatokanayo na baadhi ya wadudu huimarisha mfumo wa kinga ya mwili. Unyonyaji...

Kim Kardashian Gave Kourtney the Ultimate Birthday Present;Find Out What It Was

Sister, sister! Kim Kardashian gifted her sister Kourtney with a sweet, nostalgic birthday present for her 37th birthday back in April, and Keeping Up With the Kardashians captured the moment in a never-before-seen clip. In the video, Kim, 35, Kourtney, and their pals are dining in Iceland when the Selfish author presents Kourtney with a gift bag....

Siri yavuja kufungiwa kwa Dkt. Mwaka

HATUA iliyochukuliwa ya kufungia kituo cha tiba asili cha tabibu Dk. Juma Mwaka ‘Foreplan’ pamoja na vituo vingine viwili, kumesukumwa na maslahi binafsi, anaandika Regina Mkonde. Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini limelalamikiwa kuchukuwa hatua hiyo kutokana na kuwepo kwa msukumo wa binafsi ya baadhi ya watumishi wa baraza hilo na kwamba, sababu zilizotolewa ni za ‘kipuuzi’. Pia imeleezwa...

Mfanyabiashara Anayedaiwa Kujipatia Milioni 7 Kwa Dakika Afikishwa Mahakamani Na Kusomewa Mashitaka 199

Mfanyabiashara Mohamed Mustapha (anayeongea na simu) na wenzake, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana kukabiliana na tuhuma za kuibia Serikali kodi ya Sh milioni 7 kwa kila dakika kwa kipindi kirefu. Hatimaye mfanyabiashara aliyetajwa na Rais John Magufuli kuwa amekuwa akiibia Serikali takriban Sh7 milioni kwa dakika, amepandishwa kizimbani na wenzake wanne na kusomewa...

When Should You Say 'I Love You'? .

With so much conflicting advice, it can be hard to trust your feelings. "The regret of my life is that I have not said 'I love you' often enough." — Yoko Ono Hearing a partner say "I love you" for the first time is regarded as one of the highlights of a romantic relationship. However, people are often uncertain about when to declare their love, and whether to be the first to do so or...

Roma Mkatoliki Ampa Makavu 'live' Babu Tale Kwenye Nyimbo yake Mpya

Msanii Roma Mkatoliki ambaye leo ameachia ngoma yake mpya 'Kaa tayari' amefunguka na kusema moja ya mstari uliopo kwenye wimbo wake huo unamuhusu meneja wa Diamond Platnumz ambapo unamchana kuwa saizi anamganda sana Diamond Platnumz mpka amelisahau kundi lake na Tip Top Connection. Roma Mkatoliki amedai kabla ya wimbo huo haujatoka aliweza kusimkilizisha Babu Tale kisha Bab Tale alimchimba mkwara...

Hizi ni njia Tatu zinazoweza Kusaidia Mahusiano yako Kudumu Kwa Muda Mrefu...

Mahusiano mengi yamekuwa yakivunjika kwa kushindwa kudumu kwa muda mrefu kutokana na kila mtu kumchoka mwenzake. Unaweza kuwa katika uhusiano kwa muda mrefu na kamwe usichoke kumwona au kutaka zaidi kutoka kwa mpenzi wako. Hizi ni njia tatu zinazoweza kusaidia mahusiano yako kudumu kwa muda mrefu: Geuza mtazamo wa mapenzi Unapaswa kutumia kila nafasi unayoipata kufanya mapenzi kama nafasi ya kumuonyesha...
 

Gallery

Popular Posts

About Us