KINGAZI BLOG: 07/19/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, July 19, 2016

Ufafanuzi Kuhusu Taarifa Iliyoandikwa Na Gazeti La Jamhuri Kuhusu Ofisi Ya Bunge.

...

Wanafunzi 382 Kati ya 7805 Waliofukuzwa UDOM Ndiyo Watarudi Chuoni, 4586 Kuhamishiwa Vyuo Vingine

May 28 2016 Serikali iliwarejesha nyumbani wanafunzi 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Sayansi na Hisabati Chuo Kikuu Dodoma.   Wanafunzi waliosimamishwa masomo walikuwa wamegawanyika katika makundi makuu mawili. Kundi la kwanza lilikuwa ni wanafunzi 6,595 waliodahiliwa katika Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari na kundi la pili lilikuwa...

BREAKING NEWSSS: TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WANACHUO WALIOKUWA WANASOMA DIPLOMA YA UALIMU KATIKA CHUO KIUU CHA UDOM.

TAARIFA KWA UMMA   KUHUSU WANACHUO WALIOKUWA WANASOMA STASHAHADA MAALUM YA UALIMU KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA 1.0 UTANGULIZIItakumbukwa kwamba tarehe 28 Mei, 2016 Serikali iliwarejesha nyumbani wanafunzi 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Sayansi na Hisabati Chuo Kikuu Dodoma. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na mgomo wa walimu uliokuwa umedumu kwa takribani...

BREAKING NEWS: SERIKALI YASITISHA FEDHA YA FIELD KUTOKANA NAKUWEPO KWA WANAFUNZI HEWA VYUONI.

Waziri wa elimu Mh.Joyce Ndalichako alitolea ufafanuzi kuhusu swala la wanafunzi wanaoenda field amesema kwamba,wameamua kusitisha zoezi la kutoa pesa za field kwa sababu inaaminika wanafunzi wengi bado ni hewa.Tamko hili limetolewa leo,wakati zikiwa zimebaki siku 4 kwa wanafunzi hao kuripoti ktk vituo vyao vya field.Uhalisia uliopo hali ya kifedha kwa wanafunzi hao kwa sasa ni mbaya sana...

HAYA HAPA MAJINA YOTE YA WANAFUNZI WA DIPLOMA WALIOPANGIWA KURUDI CHUO CHA UDOMU NA VYUO VINGINE

>>> CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENT - UDOM (53.28 kB)<<< CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENTS - TEACHER COLLEGE CLICK HERE FOR LIST OF NON ELIGIBLE STUDENTS (47.38 kB)  <<<<<BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD MAJINA HAYO KTK PDF>>>>>>PIA <<<<<<BONYEZA HAPA KUONA JOINING INSTRUCTIONS>>>&g...
 

Gallery

Popular Posts

About Us